Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
FORTALEZA ulilala wapi Mpaka jamaa akaanzisha huu Uzi?Hawa wanacheza zaidi ya nafasi moja uwanjani kwa ubora na ufanisi uleule.
Kwa wastani wachezaji walio wengi wana uwezo wa kucheza nafasi moja tu kwa ufanisi lakini mchezaji kiraka ana uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya moja.
Naowakumbuka ni hawa
1. Mwanamtwa Kihwelo
2. Said Nasoro Mwamba "Kizota"
3.
4.
Mdau ongezea hapo...
Hewalaaaaaaa........!!!??Kapombe
Hahaha kuimba kupokezana mkuuFORTALEZA ulilala wapi Mpaka jamaa akaanzisha huu Uzi?