Ukweli,
Kwanza kuna itikadi yetu ambayo hua ni umoja popote ulipo.
Yaani kwanza kama sio rozari shingoni na kujiamini bado hujakamilika hata uwe uliishia form four haukuendelea na miaka ya uchungaji wala masomo ya falsafa.
Kuna mambo mengi ya malector, wapishi, waseminary watukutu, misa za alfajiri, unoko wa viongozi wa ibada, yaani ni balaa.
Ujue unaingia form one tu unajiona tayari upadre uko mlangoni na ukirudi home mishe zako zote ni parokiani kusaidia kazi mbalimbali
Tiririkeni vituko vyenu wale wa Uru, Maua, Katoke, St.Joseph , Kiparapara, Itaga
Kwanza kuna itikadi yetu ambayo hua ni umoja popote ulipo.
Yaani kwanza kama sio rozari shingoni na kujiamini bado hujakamilika hata uwe uliishia form four haukuendelea na miaka ya uchungaji wala masomo ya falsafa.
Kuna mambo mengi ya malector, wapishi, waseminary watukutu, misa za alfajiri, unoko wa viongozi wa ibada, yaani ni balaa.
Ujue unaingia form one tu unajiona tayari upadre uko mlangoni na ukirudi home mishe zako zote ni parokiani kusaidia kazi mbalimbali
Tiririkeni vituko vyenu wale wa Uru, Maua, Katoke, St.Joseph , Kiparapara, Itaga