Hii kitu wengi hawajuiHuyu jamaa alikuwa akienda kupiga kona, faulo au penati basi yeye haushiki mpira kwa mikono yake zaidi ya kuuset mpira kwa mguu wake tu!
Hii kitu wengi hawajui
Huwa nikiiwambia watu kuamini ngumu mpaka uwaonyeshe YouTube.Kweli mkuu, hasa vijana wa juzi juzi
Daah hongera mkuu,nilikuwa beki katili sana.....pale uwanja wa maji ubungo tulikuwa na mechi nikiwa Superboy's early 2010's......nilimmuumiza winga mmoja daah......zaidi zaidi huwa sisahau mechi moja ya Kinesi cup,nilimuumiza mchezaji wa Mbezi united mpaka akakimbizwa hospital,ila mpaka leo jamaa anacheza VPL Ruvu shooting na msela wangu to date......Mimi nilikuwa beki mzuri sana, nilicheza namba 3 na wakati mwingine 4. katika masisha yangu ya soka sijawahi hata kumkwatua mchezaji, au hata kutamka mbovumbovu
Hapana, huyo mwamba alikuwa hatari kwa ugomviGattuso... [emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]