Tukumbushe a.k.a yako ya shule/Chuo

Tukumbushe a.k.a yako ya shule/Chuo

Kv-london

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2,877
Reaction score
5,022
Aya aya aya aya aya
tukumbushane a.k.a zetu tulizokuwa tunaitwa na wanafunz wenzet instead of our real names?
mfano.
mim wakat nkiwa shule ya msing mburahati walinpa nick name 'kipua'coz nlikuwa na pua ndef

o'level wakanitaga zambrota nlikuwa nakaba sana uwanjan hasa football

advance:wakaniita cambiaso coz nlifanana sana na huyo mchezaj footbal wa argentina

je wew mwenzangu walikuwa wamekupa jina gan au 'govinda'
 
Dahhhhh,,,,,mi kipindi nasoma o - level nick name waliinita Drummer boy coz nilikuwa mtu wa utani sana
 
bollo young hiyo primary,sec Dj kundula au dj k hapa mimi ndio nilkua kinara wa kuwa na cd za music zote kali.then likaja ras omega hapa nilikua na dreadz za bandia tukienda kwenye match hasa zile za watani ndo nilikua na vaa Chuo likaja Mandingo kisa napenda kugegeda.
 
Last edited by a moderator:
Shule yamsingi = OSAMA

Sekondari = Monoraizer
kisa Nilikuwa najiita A one + Raizer aliyokuwa ana niita mama ! Ikawa Monoraizer

Uno = nilikuwa na ngoma nyingi sana za Tamaduni Muzik

2012 nikawa naitwa Gaddafi => Nilikuwa mkatili

Sahizi wananiita snipa => mviziaji sana wa vi binti !

Ila currently ni BaBa Elvis nayo ni a.k.a
 
Primary niliitwa RILA
Secondary niliitwa NGOSWE
Advance sikua na jina la utani na hata chuoni pia sina
 
Sekondari nilikuwa naitwa SHAOLIN kwa sababu enzi hizo nilikuwa napenda sana filamu za Bruce Lee-The big boss, The game of death, Enter the dragon, nk; hadi tukawa na klabu ya kujifunza kareti. Hiyo ni miaka ya 70 katikati; ni historia sasa!
 
Hahaahaa O level waliniita Maganja!! A level walinoita Scarface, chuo niliitwa Mzee wa Mapagaleni sasa shuleni wnafunzi wangu wananiita Mwl. Usingizi
 
Shule yamsingi = OSAMA

Sekondari = Monoraizer
kisa Nilikuwa najiita A one + Raizer aliyokuwa ana niita mama ! Ikawa Monoraizer

Uno = nilikuwa na ngoma nyingi sana za Tamaduni Muzik

2012 nikawa naitwa Gaddafi => Nilikuwa mkatili

Sahizi wananiita snipa => mviziaji sana wa vi binti !

Ila currently ni BaBa Elvis nayo ni a.k.a

O-level(form two) nlikuwa naitwa scientist kwa mbwembwe zangu za kusoma masomo ya sayans tu,form 3-4 wanaume walikuwa wananiita experiment,wanaake (genius) mana nlikuwa ni mwamba wa debate
 
Savimbi coz nilikuwa mjeuri cna

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kuna jamaa yang alikuwa na a.k.a ya chuma then kwenye gradu wazazi wake wakaja wakamuulzia kwa majina yake yaliypo kwnye ID ila wat wakamuambia huyo hasomi hapa.wakaondka na vyakula vyao
 
Primary: SHARD COLE
Secondary:SHARD COLE
Advance:SHARD COLE
Chuo:SHARD COLE.
 
Antlog coz nilikuwa nimeelewa haraka hesabu za log,so mwali wangu akawa ananita hvyo.
 
Back
Top Bottom