torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
Ebu tufanye kama tunakumbushana majona yetu ya utani tuliyopewa shule uko au mtaa wakati huo upo mtoto,
Haha, nakumbuka mimi binafsi nilikuwa na majina mengi sana ya utani na ilitokana na ka mwili kangu nilikuwa mwambamba kinoma 😀😀😀 KIJITI hili jina iilikuwa skuli o level KINJIKITILE, CHIKONDA haya yalikuwa mtaani, hahah
Kumbushia na wewe jina lako la utani enzi za utoto au hata kama unataniwa mpaka sasa tuambie tu
Haha, nakumbuka mimi binafsi nilikuwa na majina mengi sana ya utani na ilitokana na ka mwili kangu nilikuwa mwambamba kinoma 😀😀😀 KIJITI hili jina iilikuwa skuli o level KINJIKITILE, CHIKONDA haya yalikuwa mtaani, hahah
Kumbushia na wewe jina lako la utani enzi za utoto au hata kama unataniwa mpaka sasa tuambie tu