hapana kakaMkuu unalo song la UVC-Usinicheke?
HeheheheiyaaaahKiba Square, enzi hizo walitamba sana na kibao chao cha "Bilinge Bayoyo".
KOOL AND THE GANG
Ngoma yao ya Cherish The Love na Celebration
WESTLIFE
Hawa jamaa kuanzia My love, I have a dream na nyinginezo
JACKSON 5
Hili kundi liliundwa na akina Michael Jackson na kaka zake
UB40
THE BEATLES
Liliundwa na akina John Lennon na Paul McCourtney
U always on ma mind kibao kilikuwa murua sana hiki.SWV(Sisters With Voices) nao walitikisa Dunia.
Duh huu mchanyato uloweka akina ghostface killer huku redman huku method man pale RZA ilikuwa shida na hao watundu wa asili mtu tatu wanakwambia jamboree weka mbali na watoto trech pana wimbo aliimba na almarhum aaliyah wacha kabisaA TRIBE CALLED QUEST, MOBB DEEP, WU-TANG CLAN, N.W.A, NAUGHTY BY NATURE, PUBLIC ENEMY, OUTKAST, THE ROOTS..
No nadhani can u Stan wameimba new edition sins hakika sana lakini si boyz2men waliouimbaBoys II Men did it much better... 'can you stand the rain'..
OG version was new edition.
OK I got you OG version was new editionBoys II Men did it much better... 'can you stand the rain'..
OG version was new edition.