Mtibwa wamekosa sana magoal but wamepata ushindi mzuri,UZALENDO ilikuwa leo tu,kesho kila mtu abebe zigo lake, naamini hamjasahauMtibwa sukari wana wa madizini kutoka pale turiani morogoro leo watakuwa na kibarua kigumu dhidi ya Northern dynamo kutoka pale Ushelisheli, ikumbukwe kuwa Mtibwa wana zaidi ya miaka 14 hawajashiriki michuano hii ya kimataifa wakati Northern dynamo ndio mara yao ya kwanza kabisa kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa, tutaendelea kupeana updates mbali mbali za kitakachokuwa kinaendelea pale chamazi complex.
Updates
Dakika 45 za kipindi cha kwanza ndio zimeanza hapa azam complex chamazi.
Updates
13' Mtibwa sukari wanapata goli kupitia kwa Jaffar Kibaya.
Update
15' Mtibwa wanafanya jaribio zuri sana kwenye lango la Northern hapa.
Updates
35' Jaffar Salum Kibaya kwa mara nyingine tena anaiandikia Mtibwa sukari goli la pili hapa.
Updates
44' Northern dynamo wanafanya mabadiliko ya golikipa baada ya kuumia na kushindwa kuendelea na mchezo.
45' kipindi cha kwanza zinamalizika hapa uwanja wa azam complex chamazi huku Mtibwa ikiwa mbele kwa goli 2-0.
HT Mtibwa 2 Dynamo 0.
Updates
45' za kipindi cha pili ndio zimeanza hapa chamazi complex.
Updates
57' Mtibwa wanapata penati hapa, anayekwenda kupiga penalty ile ni Jaffar Salum Kibaya... Goooooooooo, Mtibwa Sukari wanapata goli la tatu hapa, ni hat-trick kwa kijana wa Mtibwa Sukari Jaffar Salum Kibaya.
Updates
Dakika 90 zimekwisha na dakika +3 zimeongezwa.
Update
Mtibwa anaandika goli la nne kupitia kwa Riphat Msuya, Mtibwa 4.
Updates
FT Mtibwa 4 Northern Dynamo 0.
Wangekuwa makini kidogo wangeshinda goli zaidi ya hizo, nikukumbushe kidogo ndugu yangu, simba ata akiwa porini anawinda mwenyewe kwa maana na Simba wenzie, hivyo hivyo kwa upande wetu leo, tutasimama wenyewe dhidi ya wahamiaji haramu kutoka kwa mswati.Mtibwa wamekosa sana magoal but wamepata ushindi mzuri,UZALENDO ilikuwa leo tu,kesho kila mtu abebe zigo lake, naamini hamjasahau
Tunajua kabisa mbabane swallows itapata mashabiki wengi kweli leo ila sie hatuna wasiwasi kwasababu kama ilivyo desturi ya simba akiwa porini huwa anawinda mwenyewe, hategemei msaada kutoka kwa mnyama mwingine isipokuwa kundi la simba wenzie.Mid sitii neno hapa nasubiri kesho baada ya mchezo tujue mbivu na mbichi
Msilielie sasa pambaneni na hali yenuWangekuwa makini kidogo wangeshinda goli zaidi ya hizo, nikukumbushe kidogo ndugu yangu, simba ata akiwa porini anawinda mwenyewe kwa maana na Simba wenzie, hivyo hivyo kwa upande wetu leo, tutasimama wenyewe dhidi ya wahamiaji haramu kutoka kwa mswati.
Una kazi ya kufanya swallows wanaweza kukuchomoa urudi kuendelea na majunguTulieni hivyo hivyo muone wanaume wanavyomenyana, hawa ndio wakimataifa asilia.
Km kibiashara chamazi mbali wangepeleka taifa
CHAMAZI Mbali Kutoka wapi? Mi nakaa Mbagala, Taifa kwangu ni Mbali!
Mbna akicheza azam uwanja Ni mweupe acha fiks dogo
Km unaishi CHANG'OMBE ama KEKO, Taifa ni Karibu kuliko CHAMAZI! Kama unaishi MBAGALA, Taifa ni Mbali na CHAMAZI ni Karibu!
Kuhusu uwanja kujaa! Jana YANGA v JKT Tanzania, SWEDI MWINYI ameskika kupitia TBC, uwanja mweupee!
Ukiacha mechi za Simba na YANGA, sherehe za Muungano ama UHURU, Uwanja wa Taifa haujawahi kukaa!