financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ntajitahidi dear,[emoji7][emoji28][emoji28][emoji28] wanaume wengi hawapendi mwanamke mwenye maneno mengi. Ww mshikilie shemeji huyo usitake kua juu.
we utakuwa mkurya, na hizo tabia ni za huko huko kwenu sisi wengine hatujui kupigwa na mwanaume au kufokewa kukoje
Hii imewaponza wanawake wengi sana...[emoji28][emoji28][emoji28] wanaume wengi hawapendi mwanamke mwenye maneno mengi. Ww mshikilie shemeji huyo usitake kua juu.
Pole sanaNilishawahi kutembezewa kichapo kitakatifu uku ameweka bastola juu ya gari lake kana kwamba watu waogope kuja kunisaidia,nilipigwa sana nikikubuka huwa nasisimka,nilipata msaada baada ya balozi kuitwa,Akanichukua na kigari chake na kunipeleka hospital, Nilipopona tuu nikamrudishia Pete yake ya uchumba na mahali akakataa kuipokea mpaka leo,Naamani na maisha yangu mbali naye
Sometime punda hafikishi mzigo bila kula kipigo....Akikosea si unamuelekeza tu,mpaka makofi jaman?
Utafanya nn sasa,,,,,,tena hata kujaribu hutawezaUnanipiga nakuangalia tu
Kweli kabisa eti huwa tunataka usawa wakati sisi tumetoka kwenye ubavu wenu ila mm nimebadilika sana nimekua mke mwema[emoji28]Hii imewaponza wanawake wengi sana...
Huwezi nipiga nakuangalia..lazima nikujeruhiUtafanya nn sasa,,,,,,tena hata kujaribu hutaweza
Kosa lilikuwa nini dada?Nilishawahi kutembezewa kichapo kitakatifu uku ameweka bastola juu ya gari lake kana kwamba watu waogope kuja kunisaidia,nilipigwa sana nikikubuka huwa nasisimka,nilipata msaada baada ya balozi kuitwa,Akanichukua na kigari chake na kunipeleka hospital, Nilipopona tuu nikamrudishia Pete yake ya uchumba na mahali akakataa kuipokea mpaka leo,Naamani na maisha yangu mbali naye
Asante mkuuPole sana
Ulizidi mipaka mkuuMimi mke wangu amabe kwasasa tumeshaachana, siku moja alizidisha dharau...aisee nilimpa kichapo hadi akajisaidia haja kubwa. Kwanza nilimkaba koo, nikawa naminya (akitoa mimacho kama anakata roho) nalegeza, naminya tena...halafu naachia, kisha akal ngumi za chemba kama 8 hivi, akashindwa hata kulia, ile ananishangaa shangaa nikararua na kofi moja (lile la mikono miwili, yaani shavu la kulia na la kushoto kwa mpigo)....mtoto akazima, nikaita majirani...tukakuta amepandisha maruhani, ikabidi Ustadhi aitwe...baa ya kufanyiwa sarah akazinduka, nikafukuza.
Duh,yani ningekupata wewe!!Kwa kweli tangia niingie kwenye mahusiano sijawah pigwa hata kibao, yaani ninahamu ya kuchwapwa hata makofi jaman
[emoji23]Yap, Sasa amempiga mpaka kajinyea
kofi linakupa Akili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sipati picha ulivobaki mpole unashangaa nini hiki , ila sometimes wadada tunakuaje sijui maneno mengi lkn nguvu hamna ,hilo Kofi duuuh[emoji119]