Tukutane hapa Kwa ambae hajapata usingizi mpaka muda huu

Wewe upo kwenye mkesha wa J.Mosi umechoka sala sasa unaanza uzi. Meditate, just breathe in breathe out.
Mara ya mwisho kuhudhuria hiyo ilikuwa sijui mwaka gani
 
Ndio shida ya kutokuwa na dyudyu karibu, pambaneni na loneliness zenu.
 
Utalalaje glisi maduka yamefungwa?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Vipi hujazingatie ule ushauri wa mama mtu mzima kuwa "mme wa mtu bidhaa adimu"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ungezingatia grisi isingesumbua
 
Walinzi huu uzi leo hautufai. Klabu pamefurika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…