Tukutane hapa tuliowahi kufanya mapenzi na binamu au ndugu zetu wa karibu

Asante sana.
 
Sasa wanaume wanakwambia wamepelekea moto binamu zao wa kike maana yake ni wanawake na wapo humu ndani, sasa wataongea nini tena hapo.
 
Sasa wanaume wanakwambia wamepelekea moto binamu zao wa kike maana yake ni wanawake na wapo humu ndani, sasa wataongea nini tena hapo.
Watu wanafanya vitu vya ajabu sana ,lakini mwambie ajiweke kwenye nafsi yake kama yeye mtoto wake anyanduane na mtoto wa dada yake, yeye ataichukuliaje, yaani yeye na dada yake waitane wakwe!!! Yaani ni upuuzi mtupu!!!
 
Koo za simba hatuna tatizo kujamiiana ndani ya ukoo. Tatizo ni kujamiiana nje ya koo.
 
Watu wanafanya vitu vya ajabu sana ,lakini mwambie ajiweke kwenye nafsi yake kama yeye mtoto wake anyanduane na mtoto wa dada yake, yeye ataichukuliaje, yaani yeye na dada yake waitane wakwe!!! Yaani ni upuuzi mtupu!!!
Watu wenye laana huwa hawastuki sababu ndani ya nafsi zao wanakubaliana na hiyo laana.
 
Kumekucha!
 
Hahhh anayesema binamu ni ndugu ata sisi wote apa duniani ni ndugu mana ni watoto wa Adam na Eva au sio😄 ila bhn mi naona ndugu ambaye huwezi kufanya nae ngono ni yule uliyezaliwa nae tumbo Moja apa kama mmeshea mama marufuku kulana ila kama mmeshea baba aaa wee mi sijui apa 😂 mana baba anaeza akazalisha kokote kule Kila sehem akaacha mtoto 😂 ko unaeza ata usijue kama n mtoto wa baba Yako. Haramu kwangu wanawake ambao siwez kufanya nao mapenzi ni wafuatao yule aliyenizaa, yule niliyeshea nae tumbo ( kuzaliwa tumbo Moja) , yule nileyemzaa. Full stop
 
Ndugu ambaye huwezi Fanya nae ngono ni yule aliyekuzaa, yule uliyezaliwa nae tumbo Moja na yule uliyemzaa.Ndomana masharti mengi ya waganga ni ufanye mapenzi na mama Yako mzazi Wala sio mamdogo unafkiri kwannn?🤔 Au ufanye mapenzi na mwanao wa kumzaa na sio mtoto wa kaka Yako labda ? Ko ndugu uliyehusika nae kwny swala la uzazi kama vile kukuzaa kuzaliwa nae au kumzaa basi huyo ndo haramu. Hili swala lengine naona limekaa kijamii tu ni ustaarabu tu wa maisha na heshima swala la kufanya ngono na mamdogo sijui mamkubwa au shangazi sijui binamu BDO Lina ukakasi katika jamii ko kuwa na heshima tu ishu jamii inavotaka
 
"Ko" ni nini we Mpumbavu. Kaza mkono na kalio hilo, sio kujiandikia kama gasho. 😀😀😀
 
Nishaingia Cha kike. Kuna ID ya kike humu nilichukua namba tukaenda kuchat nikaomba kuona papuchi zinakuja stories za mnduku/Tigo nikajiuliza demu Gani haongelei papuchi naona hapa imejitambulisha ni dume🤬
We hutaki mkundu unataka sambusa.

Basi sikupi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…