Tukutane hapa tuliowahi kufukuza / kufukuzwa na polisi, wezi. Je, ulichomoka kwa anaekufukuza ama kumpata unaemfukuzia?

Tukutane hapa tuliowahi kufukuza / kufukuzwa na polisi, wezi. Je, ulichomoka kwa anaekufukuza ama kumpata unaemfukuzia?

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
2014 hiyo nipo napiga misele kwenye kagari kangu carina ti, nipo eneo halina magari ghafla nikafika sehemu nigeuze gari bila kuangalia nyuma, vile nageuza nasikia kishindo, kuangalia nyuma ni gari ya idara fulani ya usalama, akili ziliziruka maana navyosikia ukiingia 18 zao utaita maji mma.

Hapo nilikanyaga moto wala sikufikiria mara mbili, naingia mitaa wapo nyuma, piga kona bado wapo nyuma, kanyagia mpaka 100 bado nikicheki side mirror nawaona, yaani ni kama sumaku na chuma, ilibidi tu nijisalimishe nika surrender.

Kilichotokea navyoshuka nilipigwa kofi zito nilihisi nyota, uzuri walikuwa ni watu wazima, kulikuwa na kijana moja huyo ndie alieniwasha keleb, bahati nzuri walikuwa wanaenda sehemu zao kikazi nilionywa tu nisirudie tena baada ya kutoa kiasi kadhaa
 
Geita mjn 2020 bado mgen ...npo na mazi naingia road sa 0001am ...naelekea loji kuna mwanamke wa makamo akaniita...kwa huruma nka go kumskiliza aseee kumbe n polis mara jamaa hawa hapa upo chin ya uliz...kaa chini mixer na bazi moja.

Sasa baada ya kuwa chini ya ulinzi kwenye lile kundi la mapoti mmoja nikawa na mfaham.. so nka ask niongeee nae ....aseee polisi hana rafk jamaa akawaambia wenzake mm hanifaham....sasa nikawaambia sawa ngoja nkachuchumae tena pale kwa wanazengo wengne hapo tushafka karibu 50... Aseeeeeee nlkulaaa mbio hzoo...nlifukuzwa hadi mitaa ya shilabela na hawakunipata.

NB; Demu walimchukua ila kesho yake walijuta!
 
Mimi nilidakwa huko Burundi na Mali za magendo aiseee

Kama ulishawah kuonan movie ya Boyka alivyokuwa anasafirishw ndio nilivyokuwa Sasa

Nlikula pingu za mikono na miguu then Ile ya miguu chain ikapita katkat yamiguu ikaja kuungwa kiunoni nkavalishw kama mkanda but kumbuka hiyo ni chain etii

Then on the Border nkawa handed Kwa police wa Tanzania ndio nkafunguliwa pingu zote yaan Kwa hesab ya haraka harak zile pingu zilikuwa na kama 10kg hivi

Ila nashukur nlikaa Police siku 11 Bado nusu nchanganyikiwe then nkajua nkawa released on bail

Case ilikuja kutisha nkawa huru this time I am a man with character raising my two sons

Before you do anything ask yourself is this necessary?
 
Hahaha mbona unaacha story haijaisha kamanda
Geita mjn 2020 bado mgen ...npo na mazi naingia road sa 0001am ...naelekea loji kuna mwanamke wa makamo akaniita...kwa huruma nka go kumskiliza aseee kumbe n polis mara jamaa hawa hapa upo chin ya uliz...kaa chini mixer na bazi moja...
 
Akina zakayo walitinga road kukagua magari bila hata polisi..

Nilipowakaribia wakanisimamisha ila sikusimama. Wakaamua kunifukuza..

Walifukuza na 1HZ yao ila waliambulia patupu.
 
Back
Top Bottom