Tukutane hapa tuliowahi kuwagegeda mademu wanaojiita matomboy yaani mademu wenye itikadi za kishikaji kishikaji

Kuna mmoja yeye anaendesha gari la vinywaji hapa city center, mbabe yule dada, ukimkuta kashikilia msukani wa ile center ya vinywaji balaa, sijui nani anamtafuna
Huyu nilishawahi kukutana nae. Nilishangaa na naendelea kumshangaa bado yani ni dume kabisa kabisa.
 
Huijui roba mbao

ukinigwa nayo alaffu ujambe, nakuhakikishia unajamba kuanzia tumbo, utumbo wote mpaka ini linapita kwa tundu la dawasco.

samahani lakini
Unakuta demu kavaa dela la mikono mirefu humo ndani mikononi kafunga mbao yenye misumari.
Akikupiga kabari unaachia haja zote.
 
Dah..mi nawaogopg hatar kwanz hisia hua zinajificha wapi cjui..salute kwenu
 
Nakumbuka vinyonyo vyake na ile figure na rangi ya chocolate dah

Lazima awe na boyfriend
Mzuri sana Emma. Ana shape ana nyonyo nzuri ana rangi nzuri. Akivaa gauni huwez amini ukimuona na zile suruali kubwa na mapensi.
 
Nakumbuka kipindi fulani kuna mmoja tulikua tunaishi nae mtaa mmoja, alikua anapiga bangi kama hana akili vizuri, kamali ndo usiseme, tangu namjua sikuwahi kumuona akiwa amevaa nguo za kike, zake ni pensi za jeanz na ma t-shirt ama mashati.
Mtaani alikua anaogopeka kwa matukio kwa kuwa mie nilikua muuza duka hakuwa na noma na mie mara nyingi alikua anakuja shop kununua sigara ama viberiti na kuna wakati alikua anataka nimkopeshe hela akacheze kamari akipata anarudisha.
Basi bhana siku zikaenda na mazoea nayo yakawa mengi mixer mautani utani namtania lakini wala hana dalili, kuna siku nikachukua namba yake ya simu nikawa kila siku nachombeza mwanzo alikua mkali ila siku zilivyokua zinaenda akawa yupo neutral ukigusia ishu hizo(hawi mkali wala hazungumzii)
Siku ya siku tukawa na mtoko kama kawaida(tulishawahi kutoka kama mara mbili kabla) tukaenda kumcheki mshkaji flani mbali kidogo na maeneo tunaishi, huko huko nikakaza sanaaaa mpaka kikaeleweka akakubali kwenda guest ila kwa sharti stori yote iishie kule kule.
Huku na kule nikapata ki guest cha kawaida sana uswahilini(nilimuacha sehemu anapata bia) mie na GENYE zangu nikalipa fastaa halafu nikaenda kumchukua haooo mpaka pale, tukapita moja kwa moja mpaka chumbani, nilipofungua mlango yeye akaenda bafuni mie nikawa nafunga mlango, ile hata sijamalizia vizuri mhudumu(alikua mama wa makamo) akaja fasta akawa anaugonga mlango kwa nguvu ile kufungua tuuuu akaanza
MAMA; Haturuhusu wanaume wawili kulala chumba kimoja
(Hapo Tomboy wangu bado yupo bafuni)
MIMI; Yule ni mwanamke mama
MAMA;Bwana ee nimeshakwambia haturuhusu wewe unang'ang'ania kama vipi chukua hela yako.
(Nilijitahidi kubembeleza kama dk 7 hivi bila mafanikio mpaka yule tomboy akatoka bafuni alipoona nimesimama mlangoni kuna mtu naongea nae akanisemesha kwa sauti ya kibabe)
TM;Oya kuna nini hapo mbona sielewi
Fasta nikajibu kausha hakuna mbaya(hapo kavua nguo ya juu vititi vimesimama)
Basi bhana yule mama kusikia ile sauti ikabidi asukume mlangu kwa nguvu akaingiza kichwa ndani kuchungulia ndo ikawa pona yangu maana aliona zile kitu kifuani akarudisha sura kwangu akasema
MAMA; haya endeleeni ngoja nikalete kitabu.
Yaliyoendelea ilikua siri yangu ila yule TM akawa anataka mahusiano yawe rasmi nikamkatalia tukabaki washkaji tu japo mara kwa mara alikua anajaribu kunielezea hisia zake(akitaka niwe mpenzi wake) ila nikawa na msimamo.
 
Vipi alikua mtamu?
 
Kwa nini hukutoa bao?
 
Ingawa naishi uswahili hii lugha yako imepitiliza hongera kwa kumfinyox tomboy
 
Hahaha....kumbe redio ina utumbo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…