Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Italala vipi wakati wanaume wengi wanatembea na wake za watu..yaani unalala na mwanamke ukijua ametoka kufanywa na mme wakeYaan mim Kama ndo huyo jamaa aliesamehe yaan mboo kuingiza ukeni kwake nahis italala kwanza haitasimama kabisa maana akilini itakumbuka humu. Sialitombwa na mwingne inalala hapo hapo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Watu mna mengi ya kusemaKipindi nikiwa chuo ,nipo likizo home nikapata demu ,nikaleta home , nmetoka kufuata msosi na vinywaji kurudi nikakakuta mshua anaipiga ,dah niliumia kiasi ila nilijikaza na mimi nikaigegeda tu kibishi , kesho yake mzee ananiangalia tu kma dume la nyani.
DahKuchapiwa bhn sio poa hii kitu sio inaconnection gani na maumivu yani kitombo anakula mtu mwingine kwa mapenzi yake alafu anaumia mwingine
Kuna manzi nilichapiwa na jamaa mmoja polisi aliliwa kweny Kweny gari IST yani mpaka leo sizikubali izo gari ndo ilikua mwisho kuwa na mawivu ya mapenzi, yani kiufupi magaidi huwa wanatengenezwa na ukiona mwanaume anatembeza sana kitombo ujue kuna tukio lilimkuta
Aise nilifanya revenge kwa wake za mapolis hadi nikajihisi na ngoma sijui nilichomoka vipi ..mapenzi ni ufala sana[emoji16]
Hahahahahah nimecheka hatariiMwaka 2017 nilikuwa na pisi moja pande za kaskazini huku mahusiano yalikuwa na kitu kama mwaka hivi wakati nilipo pigwa na kitu kizito pisi alikuwa mkoa wa jirani nyumbani kwao kwa muda wa miezi sita hivi mawasiano yetu yalikuwa mazuri tu.
Sasa bhana baada ya kumkosa mama la mama kwa kipindi mwisho nikaridhia kumtumia nauli aje home nipunguze kipururu cha almost miezi sita.
Ilikuwa siku ya jumapili siku ambayo mama alianza safari mapema asubuhi sababu ni mikoa ya jirani tu angetumia kama masaa 5 au 6 kufika hapa town. Basi buana kwa shauku kubwa nikanatizama saa yangu nikijua soon mama anakuwa hapa huku msg za hapa na pale kujua mwendelezo wa safari na kumjulia hali..
Baada ya muda kweli mtoto akafika akaniambia anapitia nyumbani kwa dada yake ili atuwe mizigo alafu mishale ya saa kumi nitakuwa kifuani nikihema kama dume la simba lililo Kamata windo baada ya mwendo mrefu wa kukimbiza nikasema ewaaaa!!π
Saa kumi nayo sio mbali ikafika nikampigia mtoto simu akasema anajiandaa nusu saa ikapita nikapiga Simu inaita bila majibu baada ya kupiga mara mbili akanijibu kwa msg subiri nikaingia wasiwasi Kwamba nimedanganywa ila nikapiga moyo konde saa kumi na moja nikapiga tena haipokelewi nikapiga tena na tena bila majibu ...
Basi bhana baada ya kupiga mara nyingi ππππ...jamani nasikia kulia nikikumbuka...baada ya kupiga simu snaa mwisho ikapokelewa ikiwa IPO hewani tu hakuna mtu anajibu nikawa nasikiliza kwa makini ni pisi yangu inakazwa aseeππππππeeeeh mungu mtoto anagugumia kwa uchungu na utamu..kweli nilipigwa na bumbuazi nikashidwa nikate au nizime au nife asee kumbe msela ndio aliyepokea simu yangu bila manzi kujua.....yani sitakaa nisahau ile siku ya jumapili saa mbili usiku mchizi wangu akaja nifata ghetto tukale nyama nilifika bar siwezi kunywa hata maji mtoto alikuja nitafuta badae akiniambia alishidwa kuja sababu dada alitoka akamwacha home...nikamwambia we ni MARAYA SANA mwisho tukaachana bhna ila niliteseka kinyama...
πππ huko me sipoDah kumamake unaona demu ametoka kuchapwa halafu anaemuoa kambania kumpa mzigo
Hiyo flirting siku moja itakuponza, epuka hiyo kitu kwa nguvu otherwise uko tayari kwa matokeo yoyote either ni kumcheat huyo anayekucheat kama umeolewa tulia au find other way sio hiyo..Nilichogundua wanaume kumbe linapokuja swala la kuchapiwa huwa mko dhaifu hivyoo
Tulieni dawa iwaingie maana hakuna namna ..
Haya mambo iyaanzisha nyie....wanawake wanamalizia tu...
Thou binafsi kuliwa ovyo naona kinyaa sana....flirting ndo huwa nafanya kulipa machungu lakini kuliwa huwa Inakuwa ngumu mnoo
Hqta uoe bikira, utachapiwa tuhapo ndio ule usemi wa jokajeusi unakuja kichwani mwanamke wa kuoa awe na bikra
Hahahahahah nimecheka hatarii
Yani nimeupitia uzi wote jana usiku nlikiwa nacheka hadi wanaonizunguka wanashangaaAseee watu ni wakatili sana
Acha mara moja kulala na wake za watu bwana Rakini,usipoacha usiseme hukuambiwa.Mimi ni mhanga wa kuchapiwa rakn nmejifunza kitu nmepata elim nilipoanza kumchukua mwanamke mmoja mwenye mme jamaa mmoja mwenye nafasi nzuri kwake pia ana kila kitu akipendacho kwake maisha mazur
Hata huyu mama namtafuna anakiri kua ananipa utam bila sababu yoyote kwa maana mmewake anampa kila anachotaka kwa wakati sahihi pia kitandani anawaza sana tu
Rakn nikijaribu kutaka kumuacha huyu dada ananililia sana anasema mamayake alimzuia kutoka nnje ya ndoa anayakumbuka maneno ya mama afu ananilaumu kwanini nataka kumuacha wakat mimi ndie nmemfundisha kutoka nnje
Nimekua mwanaume wa kwanza kutembea nae nnje ya ndoa, mpaka sasa napiga tu tukipata nafasi roho yangu inasuuzika namkopa mpaka na hela
Nimejifunza nimepata elim kuhusu wanawake yaani wanatoka nnje ya ndoa bila sababu za msingi
Sio dhaifu, ila tunaenda na mwelekeo wenu, mnataka nn, tunajifunza kujaliYani nimeupitia uzi wote jana usiku nlikiwa nacheka hadi wanaonizunguka wanashangaa
Wanaume kumbe ni dhaifu hivyo?? Duh
Hahahah eti mwelekeo wetu...sema tu walikutana na kiboko yaoSio dhaifu, ila tunaenda na mwelekeo wenu, mnataka nn, tunajifunza kujali
Kuchapiwa it's normal sikuhz, but reaction ambayo mwanaume haimaanishi yuko weak sababu we both know kwamba ni mwanaume pekee anaweza kuuwa wewe uliyecheat, na watoto plus yeye,, mifano ipoHahahah eti mwelekeo wetu...sema tu walikutana na kiboko yao
HayaKuchapiwa it's normal sikuhz, but reaction ambayo mwanaume haimaanishi yuko weak sababu we both know kwamba ni mwanaume pekee anaweza kuuwa wewe uliyecheat, na watoto plus yeye,, mifano ipo
So wanavyoreact hapa sio udhaifu ni ubinadamu, kwasababu aki react kiume, lazima damu imwagike
[emoji23][emoji23][emoji23]unataka tushikie mapanga ID za watesi wetuHumu unahadithia mkeo alivyoliwa halafu aliyekutombea ndo anakupa pole na wewe unasema Asante
Inachekesha sana mzee[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]unataka tushikie mapanga ID za watesi wetu
Watakuja kumchana Malinda mwisho ajinyongeSorry to say this, Be mature enough to cover your emotional pain. Nimefatilia kisa chako sawa mkeo amekukosea sana lakini the way ulivyo react to that mpaka umeanza kuwapanga wake za watu it is not fair na ni dhambi sana kibaya zaidi unajisifia kuwa na picha unawapiga, let me tell you now unaweza kujiona mjanja au una heal jeraha lako kwa maumivu uliyoyapata lakini umechagua solution mbaya sana na one day inaweza kukokosti almost everything hamna faida ya kuhangaika na wake za watu na hamna hasara ya kutoaingaika na wake za watu (NB Ndoa iheshimiwe na watu wote hawakukosea kusema hivi fikiria kiundani)
What to do bro?
Kubali kuwa mkeo amekukosea, kubali kuwa yawezekana ni mapungufu ya kibinadamu( simtetei ) na kama uliamua kumsamehe jifunze kuwa jasiri wa kusahau kilichotokea, anza kujenga kilichopotea kikubwa ni kuwa emotional pain zinapona kabisa na zinasahaulika kama ukichagua measure sahihi.
Amini nakwambia msingi mmoja wapo wa Dunia yetu ni ujasiri na kuwa na moyo mgumu kama binadamu kwa kila hatua tunazopitia, maisha huwa yana tabia ya tutest watu, so ukiyumba yanakuyumbisha.
N.B Achana na wake za watu, utakuja ingia sehemu sio afu usione mlango wa kutokea, jipende na penda na familia yako thats all.
Samahani lakini its just the way i see things in different direction.
[emoji23][emoji23][emoji23]wazee wanafunguka tuInachekesha sana mzee[emoji28]
Hata kule kwenye uzi wa kimasihara mtu anahadithia alivyokula tunda unampongeza umetisha mkuu kumbe ni baba yako alivyomla bimkubwa wako ukapatikana wewe[emoji28]
Kwasababu ni wakweli wanawake hawaumii mana wao ile ni biashara hivyo wanachukulia breakup kama changamoto tu....πππYani nimeupitia uzi wote jana usiku nlikiwa nacheka hadi wanaonizunguka wanashangaa
Wanaume kumbe ni dhaifu hivyo?? Duh