Removers
Member
- Nov 1, 2018
- 73
- 40
Habarini za asubuhi wakuu.
Ni desturi iliyopo kwa baadhi ya makabila na hata wazazi kuwapa wanao majina ya asili ,naweza kuita majina ya kiukoo..
Wale wote wenye majina ya asili naomba mtupe pamoja na Maana ya Hilo jina uliloitwa au ulilompa mtoto wako..japo baadhi huwa yanaleta ukakasii.
Ntaanza mimi
Masatu - Hii ni aina ya samaki ,, nnavyoambiwa niliitwa jina hili ,,kipindi ambapo kulkuwa na upatikanaji mwng wa samaki aina hii ,, maan familia yangu ni ya wavuvi ,wakulimaa..
Karibuni, wakuu tupate kujuzanaa .
Ni desturi iliyopo kwa baadhi ya makabila na hata wazazi kuwapa wanao majina ya asili ,naweza kuita majina ya kiukoo..
Wale wote wenye majina ya asili naomba mtupe pamoja na Maana ya Hilo jina uliloitwa au ulilompa mtoto wako..japo baadhi huwa yanaleta ukakasii.
Ntaanza mimi
Masatu - Hii ni aina ya samaki ,, nnavyoambiwa niliitwa jina hili ,,kipindi ambapo kulkuwa na upatikanaji mwng wa samaki aina hii ,, maan familia yangu ni ya wavuvi ,wakulimaa..
Karibuni, wakuu tupate kujuzanaa .