Tukutane kwa Dkt. Mwamposa nipo njiani kwenda Kawe

Tukutane kwa Dkt. Mwamposa nipo njiani kwenda Kawe

Wewe. WA dini yako nenda ukamshukuru Mungu kanisan mwako Anza MWAKA na Mungu
MUNGU AWABARIKI sana
 
Nimechungulia hapo nimegundua i don't real belong there...nipo Kitambaa cheupe.. patiently waiting for 2025, kama baraka zipo zipo tu..kama hazipo hazipo tu wote tutaondokea udongoni siwezi furahisha mwanadamu mwenzangu kwa sadaka wakati Mungu hajateua ambassador wakumtumia kupitishia baraka ,🤣🤣🤣
 
Pale kitunda matembele ya pili

Msiache KWENDA WA karibu

KUNA Prophet suguye WA Wrm

Yuko angani mda huuuuuu

Pale temboni kuhani mussa ashaanza KUWASHA motoo

Msikose

Vuka na vhakoo

Kule vuka na baraka zakoo

Kule...weweeeeeee MWAKA WA kufosiii


Hapa saa saaba natoka kawee NAELEKEA Temboni

Saa Tisa na nusu Niko matembele mawili kwa suguyeee



Sikomiii nasema sikomiii sikomiii....
 
Mkeoooo anachrpukaaa sanaa


Njoo na cchupi yakeee vukae nae hakikaa hutoacha kunishukuru
 
Wengine wanapofushwa macho kipindi cha mitihani tuu 😁
Kabisa mkuu

M wangu alikuwa no 1-3 alipoanza la saba mwl wakanipigia nn kinemtokea

Akifika wakati WA mtihan analalaa

Wewee nikaomba asome day NDAN ya wiki

Jtatu kwa mwamposaa
Jnne kwa mwamposaa
Jtano kwa suguye
Ijumaa kwa kuhani mussa

Jpili nkamalizana nae kwa Dk Mwampoosa na mafuta ya kutosha na maji NDUGU

Jtatu wanapiga pepa jtano napigiwa na walimu umempa nn ulimpeleka wapi

NKAMWAMBIA

Kawe
Temboni
Kitunda maramba mawili

Aliejiongeza akarlewa

Pre form one kaenda Loyola HATARE 90+ zimeudi.......

Msiache KUWAOMBEA watoto WENU KUNA mambo mengi SANA shulen
 
Back
Top Bottom