Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Timu ya Mhindi Ile. Hakuna jitihada za Mnyakyusa mule.Juhudi za kuendelea kuipandisha bado zipo mkuu
Leo ndio nimefahamu maana ya id yako ( abdalla kichwa wazi)1. Pamoja na kwamba wengi tumesoma mpaka PhD Ila timu yetu ya Tukuyu Stars ndio ilitambulika zaidi kuliko PhD zetu.
2. Tulivyo wa ajabu, hatujisikii aibu kushabikia timu za Ulaya huku timu yetu ikipotea kwenye ramani.
NB: Dr Sugu, Prof Mwandosya, Dr. Tulia, SH Amon-Sauli, Dr Mwakyembe ongozeni njia tuifufue Tukuyu Stars yetu
Nan kakudanganya Mzee baba ...Timu ya mMhindi Ile. Hakuna jitihada za Mnyakyusa mule.
Tafuta historia ya Tukuyu Stars ilikua ya mfanyabiashara wa kihindi hapo Tukuyu. Wanyaki bize na ujenzi wa makanisaNan kakudanganya Mzee baba ...
Wahindi na mpira wapi na wapi ..... refer to mudi
Yaaah Kwa zaman nakubali but now tukuyu stars inajitafuta but ipo na wazawa ...... DC aliyeondoka ndo alianza kuipa uhai wa nguvuTafuta historia ya Tukuyu Stars ilikua ya mfanyabiashara wa kihindi hapo Tukuyu. Wanyaki bize na ujenzi wa makanisa
Nje ya Mada: Huwa nikiona mnyakyusa ana jina la ki-madrasa, mara nyingi nyuma yake kuna dalili za upigaji. Ni sawa na sheikh yule kuitwa Abubakar MwaipopoTukuyu Stars ilitubeba Wanyakyusa
Njoo Kapunga utawapata waburushi kibao!Nje ya Mada: Huwa nikiona mnyakyusa ana jina la ki-madrasa, mara nyingi nyuma yake kuna dalili za upigaji. Ni sawa na sheikh yule kuitwa Abubakar Mwaipopo
RIPKaka Mfadhili wa Tukuyu Stars alipofariki alizikwa kichovu sana
Hahahaaaaa!Nje ya Mada: Huwa nikiona mnyakyusa ana jina la ki-madrasa, mara nyingi nyuma yake kuna dalili za upigaji. Ni sawa na sheikh yule kuitwa Abubakar Mwaipopo
Nje ya Mada: Huwa nikiona mnyakyusa ana jina la ki-madrasa, mara nyingi nyuma yake kuna dalili za upigaji. Ni sawa na sheikh yule kuitwa Abubakar Mwaipopo
Usipotoshe mada ya mtu; alisema kuwa illiitangaza sana Tukuyu kimpira siyo kuwa ni timu ya kabila la watu wa Tukuyu. Nakumbuka kuwa Mwanza pia ilitangazwa sana kimpira na Pamba United kama ambavyo Kagera leo intangwazwa na Kagera Sugar na wala wachezaji wa timu hizo siyo wa makabila ya huko.Kumbe tukuyu stars nitimu yakikabila ? BC Ni heri iendelee kupotea huko huko
Aliitwa Nani ?Kaka Mfadhili wa Tukuyu Stars alipofariki alizikwa kichovu sana