Tukuze vipaji, turuhusu Uraia pacha

Tukuze vipaji, turuhusu Uraia pacha

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Ndiyo njia pekee ya kukimbizana na kiwango standard cha soka la dunia.

Kupitia Afcon hii kama taifa tuna la kujifunza hasa tukiyaangalia mataifa madogo kama Comoro, Malawi na cape verde juhudi kubwa na uwezo waliouonyesha licha ya baadhi yao kushiriki kwa mara ya kwanza katka fainali hizi.

Ni wazi tukijipanga nasi tutafika.

Zianzishwe shule maalum za michezo serikali iweke humo wataalam wa michezo kutoka ulaya na hata amerika ya kusini hususan Brazil,
Serikali iingie katika utaratibu wa uraia pacha hii itasaidia katika kuzidi kuimarisha timu kwa kuwatumia wachezaji wenye asili ya Tanzania waliozaliwa na kuishi nje ya nchi mfano kumtumia mchezaji kama Yousuf poulsen anayekipiga ligi ya bundesliga pale ujerumani.
 
Unampigia mbuzi gitaa.

wenye mamlaka hawana taarifa wanasubiri bado mechi moja kutinga Afcon ndo wanatoa hamasa za mlipuko kwa kutoa mamilioni ya fedha.
 
Sasa hivi tunatekeleza kwanza mkakati wa kuongeza wahamasishaji kama kina Haji Manara, Mwijaku na Steve Mengele, Pierr Liquidi na Bongo zozo ngoja tuone kama tutapata matokeo chanya katika kipindi cha miaka 20🐒
 
Ndiyo njia pekee ya kukimbizana na kiwango standard cha soka la dunia.

Kupitia Afcon hii kama taifa tuna la kujifunza hasa tukiyaangalia mataifa madogo kama Comoro, Malawi na cape verde juhudi kubwa na uwezo waliouonyesha licha ya baadhi yao kushiriki kwa mara ya kwanza katka fainali hizi.

Ni wazi tukijipanga nasi tutafika.

Zianzishwe shule maalum za michezo serikali iweke humo wataalam wa michezo kutoka ulaya na hata amerika ya kusini hususan Brazil,
Serikali iingie katika utaratibu wa uraia pacha hii itasaidia katika kuzidi kuimarisha timu kwa kuwatumia wachezaji wenye asili ya Tanzania waliozaliwa na kuishi nje ya nchi mfano kumtumia mchezaji kama Yousuf poulsen anayekipiga ligi ya bundesliga pale ujerumani.
Watanzania wengi nikiwemo mimi, tunaunga mkono uwepo wa Katiba Mpya, na pia huo Uraia Pacha.

Kikwazo ni CCM na viongozi wake.
 
Back
Top Bottom