ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wataalam wa nutrition wameshauri tuwe na mazoea ya kula chakula chenye virutubisho vyote vinavyohitajika ila kwa kiasi kidogo
Spiritual nakazia Huo ushauri,HaKuna sababu ya kula chakula kingi mpaka ushibe tumbo lijae full.kula kidogo kwa ajili tu kupata nishati ya kuishi na kufanya Mambo mengine kwa ukawaida..unakuta mtu kashanenepa na kuwa na mwili mkubwa lakini bado anakula sana.haitakiwi kufanya hivyo mtu ambaye anamjua Mungu anapaswa kula kidogo akiamini kuwa anafanya hivyo anaacha kingine kwa ajili ya kutengeneza akiba yake na ya wengineo
Spiritual nakazia Huo ushauri,HaKuna sababu ya kula chakula kingi mpaka ushibe tumbo lijae full.kula kidogo kwa ajili tu kupata nishati ya kuishi na kufanya Mambo mengine kwa ukawaida..unakuta mtu kashanenepa na kuwa na mwili mkubwa lakini bado anakula sana.haitakiwi kufanya hivyo mtu ambaye anamjua Mungu anapaswa kula kidogo akiamini kuwa anafanya hivyo anaacha kingine kwa ajili ya kutengeneza akiba yake na ya wengineo