Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Wazungu wanatamani walete sanitizer na vifaaa vyenye Corona ili wafanikishs mawazo yaoKuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Wee mama ni pumbavu kabisa..Kuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Hivi kwa akili zako hizi unaweza kweli kuongoza familia?Kuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Ww ni maiti iliyoopolewa au ni mgonjwa wa Corona usiamini kila ujingaWee mama ni pumbavu kabisa..
Wale wagonjwa waliokimbia jana Amana kwa kukosa huduma kwako ni kawaida eehh?
Wagonjwa wanatoa maiti wao wenyewe wodini kwa kukosa wahudumu kwako ni normal kabisa..!?
Lofa wewe.
Ww ni maiti iliyoopolewa au ni mgonjwa wa Corona usiamini kila ujinga
Ss kama unaongea ujinga kwa nn tusikuite ww ndiyo maiti iliyoopolewa na wagonjwa wa Corona au ww ndiye mgonjwa uliyeopoa maiti
wewe unaumwa?? au unahisi una corona yako uanze kuitumia
Mtu anauwezo wa kubeba maiti unamuita mgonjwa? Hao warudi kwao wakafukize tu?Wee mama ni pumbavu kabisa..
Wale wagonjwa waliokimbia jana Amana kwa kukosa huduma kwako ni kawaida eehh?
Wagonjwa wanatoa maiti wao wenyewe wodini kwa kukosa wahudumu kwako ni normal kabisa..!?
Lofa wewe.
Aya mambo magumu ndugu. Ni silika ya binadamu kutomtakia jema mwenzake. Ko watu hao nikuwapuuza, kuendelea kuchukua tahadhari na kumwomba MunguKuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida
Kuna wakati ujuaji wa wanadamu hukwama kwa uwezo wa mwenyezi Mungu
Watu wajifunze kuwa kuna Mungu aliyewaumba na ndiye mtetezi wa wote kwenye shida na raha
Kuna haya manyumbu ya ufipa ni bure kabisa,!
Yanapata hasira kweli yakiona hali haiwe kama yanavyotaka iwe!
Angalia kama hilo li mengele
Sent using Jamii Forums mobile app
NotedTumshukuru Mungu ametutetea ila tusibweteke