Tuliambiwa kuwa kufikia wiki ya pili hali itakuwa hatari hii nayo wiki ya pili inaisha hali iko kawaida kweli media ni kansa ikitumika vibaya

Kwahyo wewe unayeandikaVIZURI UNATUMIA NINI KUANDIKA ,, KALAMU AU KEYBOARD YA SIMU? wewe uliyesoma sana UMEGUNDUA NINI HAPA KWETU? zaidi ya KUSUMBUWA WATOTO WA WENZIO KWA KUPIGA VIZINGA? wacha CHUKI DHIDI YA DINI ZINGINE...eti NYERERE alimuweka MKATOLIKI mwenzie,,,,kwahyo WEWE ULIKUWA UPANDE WA NDULI AMINI?na NYIE NDIYO MNAOUPAKA MATOPE UISLAM, ,, SASA naamini wewe ni TRAITOR.....nimekuelewa MZEE KAJAMBE MBELE...haswa KIPINDI HIKI CHA CORONA.... it is not safe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina mengi zaidi ya hayo,ila lifanyie kazi,kama angejitukana basi haya maneno nisingeyasikia kwako. Ni hayo tu mkuu nafurai kukuambia nilivyokwambia.


Na mimi nafurahi hayo uliyoniambia , zawadi yako hii

 


Unajidhihirisha zaidi kwenye huo uandishi wako kuwa hata ngumbaro ni afadhali , hayo ni matunda ya kazi ya Laanatullahi Nyerere


zawadi yako hii

 
Wee mama ni pumbavu kabisa..
Wale wagonjwa waliokimbia jana Amana kwa kukosa huduma kwako ni kawaida eehh?
Wagonjwa wanatoa maiti wao wenyewe wodini kwa kukosa wahudumu kwako ni normal kabisa..!?
Lofa wewe.
Wagonjwa waliokimbia walikuwa wangapi? Na hizo maiti walizotoa zilikuwa ngapi? Tangu umeanza kutembea mtaani umeokota maiti ngapi? Acha upumbavu kushabikia mambo ya kipumbavu taahira mkubwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizazi cha sasa ni pasua kichwa, badala ya kujadili kistarabu ili kutoa suluhu na kutiana moyo, dharau na matusi ndiyo fahari ya wanaojiita wasomi. Mungu atunusuru!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jishike kifua jipige pige kifuani alafu sema Mimi ni shujaa alafu endelea kumshukuru Mungu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absolutely
 
Wacha zako ...HESHIMU VIONGOZI WETU WAZALENDO...unachuki SABABU ya KUVUNJWA UMOJA WA WAISLAM EAST AFRICA,,, ilivunjwa kwa MASLAHI YA INCHI..UNACHUKI PENGINE KITUMBUA CHAKO KILIMWAGIWA MCHANGA KIPINDI KILE,....labda ulikuwa na MASLAHI BINAFSI UNAYOPATA NA SI KWA FAIDA YA UISLAM... na sidhani kama ulikuwepo wakati HUO,, PENGINE ni sababu ya KUOKOTEZA VIDEO ZA KUUNGAUNGA...utimize ADHMA YAKO YA KUENEZA CHUKI...huyo ADAM NASEEB ALIYEZUNGUMZWA NAMJUWA FIKA,,NA KWAKE ILIKUWA MAGOMENI MIKUMI,,,,hakuwa MTU mwenye UPEO MDOGO KAMA WEWE...kama wenzio walikubali wakati huo kwann USIANZE NA HAO KUWAITA LAANATUL ALLAH...
Hiyo lugha na uandishi wako ndio unadhihirisha kuwa wewe ni mtoto wa mwenge au ndio watoto ambao wale wazungu walipita kule shule za wamisionari

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kidogo unaanza kujifundisha vitu vikaeleweka labda umeelekezwa ?? Sasa jifundishe na ya kuandika
 
Mkuu na shule watoto mitaani kwenu vipi?

Isije kuwa shule hawaendi humu JF lakini kwenu maisha yanaendelea vyema tu.
Haiendani na tulichokuwa tukikijadili.

Ngoja nikupe nyongeza ili upate kuelewa:-

Kipindi cha Uchaguzi (2015) humu JF jinsi watu walivyokuwa wakimpaisha Mheshimiwa Lowassa ndie Rais, wachache kama mimi nikawaambia mnapoteza muda wenu, sisi tunajua hali ya kitaani ilivyo.

Kwasababu huku JF kila Uzi utakaofungua "Lowassa Rais", kila Michango ya WADAU utakayokutana nao "Lowassa Rais".

Kwanza wakati majibu ya Kura yanasubiriwa, watu wakaanza kuingia mitini.

Majibu ya Kura yalivyotoka, ndio kukawa kimya kabisa.

Wachangiaji wa Mada tulikuwa mimi HARUFU na MDAU mmoja wa kuitwa GRANDPUBA.

Na MDAU mwingine mwisho wa jina lake inaishia CCM mfano brazaj CCM, alikuja kwa ID hiyo kwa ajili ya kipindi cha Uchaguzi tu.

Ndio nikaja kugundua kumbe kuna watu wachache humu JF sema wanatumia ID nyingi nyingi/zaidi ya moja (namaanisha wale wachangiaji wa mara kwa mara).

Kwahiyo hili suala la gonjwa hili la mlipuko watu wanalichukulia kisiasa zaidi, si kama hali halisi ilivyo kitaani.

Humu JF wanaongeza sana Chumvi.
 
Waambie mkuu hii corona naona imeingia siasa sana Ugonjwa upo kweli tuchukue tahadhari, ila siasa zinafanyika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…