Tuliambiwa Mabasi ya Mwendokasi kwa ruti ya Mbagala kuanza March 2025, Vipi huko njiani Mnayaona?

Tuliambiwa Mabasi ya Mwendokasi kwa ruti ya Mbagala kuanza March 2025, Vipi huko njiani Mnayaona?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tuliambiwa Mabasi ya Mwendokasi kwa ruti ya Mbagala kuanza March 2025, Vipi huko njiani Mnayaona? Kwa yeyote aliyeyaona mabasi hayo yakisafirisha abiria kutoka Mbagala kuja Mjini atuambie ili tuipongeze Serikali.

1741872580381.png

Pia soma:
Mungu Ibariki Tanzania..
 
Kwa yeyote aliyeyaona mabasi hayo yakisafirisha Abiria kutoka Mbagala kuja Mjini atuambie ili Tuipongeze Serikali.

Mungu Ibariki Tanzania..
Ufipa hakuna taarifa leo?Assad kuwa mgombea uraisi wa chadema!
 
Kuna matatizo yetu mengine watanzania ni obvious.

Sio kila mara tunaporudia kusema, civil servants Tanzania ni shida ni uropokaji. La hasha kuna sababu maalum nyuma yake kwa jinsi serikali zinavyoendeshwa.

Senior servants are not joke people.
 
Tuliambiwa Mabasi ya Mwendokasi kwa ruti ya Mbagala kuanza March 2025, Vipi huko njiani Mnayaona? Kwa yeyote aliyeyaona mabasi hayo yakisafirisha abiria kutoka Mbagala kuja Mjini atuambie ili tuipongeze Serikali.


Pia soma:
Mungu Ibariki Tanzania..
Kivukoni na Gerezani wanaangaika wataweza Mbagala
 
Back
Top Bottom