Tulianza dini na sasa tupo kwa waganga na watatuzi

Tulianza dini na sasa tupo kwa waganga na watatuzi

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Waganga ni watu walioridhishwa kutibu watu na shida zao mbali mbali .

Ikiwemo kutoa majini,
Kutoa vifungoo
Kutoa uchawi uliowekwa mwilini au katika nyumba za watu .

Kurudisha nyota zilizochukuliwa na akili ya mtu iliyochukuliwa.

Watu huwaona vibaya pale wanapokibali kuwapa utajiri watu kupitia kafara .

Kuna kafara nyingi sana .

Za wanyama na binaadamu na pia Kuna kafara ya kujitoa mwenyewe .

Kuna masharti mbali mbali .
Mtu anapewa so inategemea kipi unaweza kufanya .


Kwa hiyo sio watu wabaya wakutosadia watu .

Wanawasaidia. Ukitaka nyongeza ndio lazima ulale naye na update Tiba mana wao sio watu wakawaida ni watu wenye maruhani, na mizimu na majini pia .

Kwa hiyoo.


Kuna waganga wamajini na waganga wa mizimu Hawa wapo tofauti katika Tiba zao na madawa Yao .


Kuna aina za utajiri .

Utajiri wa Kafara la damu either iwe la ndugu au la watoto au la wamajirani au la marafiki au wafanyakazi uliowaajiri kwenye biashara zako.

Wanaliwa wanakufa kila mwaka au kila baada ya miaka 5.

Inategemea nawewe mlivyokubalina au damu inachukuliwa Barabara I kwenye hizi mabasi pale ajali zinapotokea inakuwa mtu anaweka tego basi basi ikipita majini wanapatisha ajali halafu wao kazi imekwisha na wananufaika na kafara like.


Kafara la damu pia nikwa wanyama mtu anaanza na kuku halafu baadae aje mbuzi na anakuwa anabaki kutoa ng'ombe kila mwaka.


Kuna utajiri wa vimbola unamfanya mama Ako au ndugu Yako mmoja awe anamaradhi au tahira tahira Yale mate ayatoayoo ndio wewe unaingiza pesa .


Unamtoa mtu ufahamu anakuwa kazi yake anakaa tu na kupoteza muda wake hajijui lolote like anafanya maajabu tu kumbe anaingiza pesa.

Kuna utajiri wa majini .

Mtu anayafuga majini ili apate kipato anaweka kwenye biashara zake .

So sio kila mfanyakazi unamuona kwenye biashara za watu wote ni watu wengine majini na ndio wanaingiza hela Kwa mtindo huo wengine wanazo Pete za majini zinawaimarishia biashara zao .

Wengine huwatumia pangaji wao majini ya watumie usiku na pia huwatumia majini aina ya paka kuwa chunguza kama wamefanikisha Nini na Huwa chukuliwa nakujiongezea yeye ndio maana unakuta mtu haendelei Kisa yupo hapo nakabla yakuhamia hapo mambo yake yalikuwa yanaenda vizuri .
Ila kahamia hapo mambo sio shwari

Unakuta yanashuka badala yakupanda .

Kuna utajiri wa mapenzi .

Wanaume Kwa wanawake wanatumia vijana wa watu kulala nao ambapo wakilalanao wao hupata hela .

Wengine wanalala nawatoto wao hata ndugu zao .

hata mama zao.

Unakuta mwanamke anachukua utajiri huu kupitia zile sperms ambazo mwanaume ametia kwenye condom yeye huchukua nakufanyia mambo yake.

Wengine hufa Kwa style hiyo na wengine hudhoofika Kisa sperms zake zimepelekwa huko .


Wanaume wengine huwatoa wapenzi wao sadaka wakishalala nao wachumba zao hufa au wanakuwa hawana maendeleo yeyote . Kwani huyo muhusika anatumia nyota yake au maisha yake kufanikishia mambo yake.

Kuna utajiri wa nyota .

Mtu anaweza tajirika Kwa nyota za watu iwe marafiki, mpenzi , au wazazi anawachukulia kila kitu na kukusanya na kutumia kufanikishia mambo yake..


Mwisho wa yote wanadamu ndio wanapenda kuwa wachawi wenyewe nakuomba msaada wakuwa na utajiri wa kichawi.


Kuna mengi sana hamjui yanafanyika kama mtu analala kaburini sikutatu wengine wanatumia maiti Kwa kupata utajiri kama maji ya maiti kulala na maiti kukataa ngozi na nywele kucha za maiti .
Mambo Mengi Muda mchache .

So waganga sio wabaya ni watu ndio wanatafuta utajiri kwa nguvu .

Mwombe Mungu akusaidie yupo na anaona
 
nishawahi kulala na mke wa mtu huko nyuma,,na mwenye mke alijua baadae kuwa nililala na mke wake,,huyo jamaa alikuwa ni tajiri kiasi,,nashangaa hakuwahi kuniletea noma yeyote mpaka nikawa najishtukia mwenyewe labda jamaa ananitafutia time aje aniteketezee mbali,lakini hata hakuwahi kudeal namimi kabisa

kimbembe kimeanza, miaka miwili nimehitimu sina kazi yeyote ile nipo tu maskani tunapishana naMadogo wa home mpaka wakaanza kunichukulia poa kakaao,,siku moja alikuja pale mgeni kutoka hukoo vijijini alikuwa ni ndugu yetu,tulikaa nae pale maskani kama week hivi,,siku moja ahsubui tu ameamka namimi akaanza kuniletea story mala oooh mimi huwa ninaoteshwa ndoto zenye uhalisia,,ikabidi nitake care kumsikiliza palee,,akaanza kuniambia unajua kwanini haufanikiwi nikamwambia itakuwa tu ridhiki yangu bado haijafika,,akaniambia sio hivo,akaanza kunieleza huko nyuma alishawahi kulala na mke wa mtu jarani kabisa nawewe,huyo mke wa huyo jamaa uliyelala nae huwa anatumika kupata utajiri na mumewe,,nikabaki nashangaa palee,ukilala na mkee wake yeye ndo anazidi kutajirika,,akaendelea,kunisimulia palee mambo mengi kiukweli aliyokuwa ananiambia yote ni ya ukweli,akanielekeza nifanye nini ili nijitoe kwenye huo msala,nikafanya maelekezo yote,hazikuisha hata week mbili nikaanza kusumbuliwa na simu za makampuni
 
nishawahi kulala na mke wa mtu huko nyuma,,na mwenye mke alijua baadae kuwa nililala na mke wake,,huyo jamaa alikuwa ni tajiri kiasi,,nashangaa hakuwahi kuniletea noma yeyote mpaka nikawa najishtukia mwenyewe labda jamaa ananitafutia time aje aniteketezee mbali,lakini hata hakuwahi kudeal namimi kabisa

kimbembe kimeanza, miaka miwili nimehitimu sina kazi yeyote ile nipo tu maskani tunapishana naMadogo wa home mpaka wakaanza kunichukulia poa kakaao,,siku moja alikuja pale mgeni kutoka hukoo vijijini alikuwa ni ndugu yetu,tulikaa nae pale maskani kama week hivi,,siku moja ahsubui tu ameamka namimi akaanza kuniletea story mala oooh mimi huwa ninaoteshwa ndoto zenye uhalisia,,ikabidi nitake care kumsikiliza palee,,akaanza kuniambia unajua kwanini haufanikiwi nikamwambia itakuwa tu ridhiki yangu bado haijafika,,akaniambia sio hivo,akaanza kunieleza huko nyuma alishawahi kulala na mke wa mtu jarani kabisa nawewe,huyo mke wa huyo jamaa uliyelala nae huwa anatumika kupata utajiri na mumewe,,nikabaki nashangaa palee,ukilala na mkee wake yeye ndo anazidi kutajirika,,akaendelea,kunisimulia palee mambo mengi kiukweli aliyokuwa ananiambia yote ni ya ukweli,akanielekeza nifanye nini ili nijitoe kwenye huo msala,nikafanya maelekezo yote,hazikuisha hata week mbili nikaanza kusumbuliwa na simu za makampuni
Aiseee[emoji848]
 
haya mambo ya kulala na kila mwanamke ni hatari sana!
yaani kwa mwezi umepita na wanawake 20[emoji848]unachojali ni kupima ukimwi tu
 
nishawahi kulala na mke wa mtu huko nyuma,,na mwenye mke alijua baadae kuwa nililala na mke wake,,huyo jamaa alikuwa ni tajiri kiasi,,nashangaa hakuwahi kuniletea noma yeyote mpaka nikawa najishtukia mwenyewe labda jamaa ananitafutia time aje aniteketezee mbali,lakini hata hakuwahi kudeal namimi kabisa

kimbembe kimeanza, miaka miwili nimehitimu sina kazi yeyote ile nipo tu maskani tunapishana naMadogo wa home mpaka wakaanza kunichukulia poa kakaao,,siku moja alikuja pale mgeni kutoka hukoo vijijini alikuwa ni ndugu yetu,tulikaa nae pale maskani kama week hivi,,siku moja ahsubui tu ameamka namimi akaanza kuniletea story mala oooh mimi huwa ninaoteshwa ndoto zenye uhalisia,,ikabidi nitake care kumsikiliza palee,,akaanza kuniambia unajua kwanini haufanikiwi nikamwambia itakuwa tu ridhiki yangu bado haijafika,,akaniambia sio hivo,akaanza kunieleza huko nyuma alishawahi kulala na mke wa mtu jarani kabisa nawewe,huyo mke wa huyo jamaa uliyelala nae huwa anatumika kupata utajiri na mumewe,,nikabaki nashangaa palee,ukilala na mkee wake yeye ndo anazidi kutajirika,,akaendelea,kunisimulia palee mambo mengi kiukweli aliyokuwa ananiambia yote ni ya ukweli,akanielekeza nifanye nini ili nijitoe kwenye huo msala,nikafanya maelekezo yote,hazikuisha hata week mbili nikaanza kusumbuliwa na simu za makampuni
Picha haina uhusiano na post
 

Attachments

  • JamiiForums1963408388.jpg
    JamiiForums1963408388.jpg
    28.5 KB · Views: 28
Back
Top Bottom