Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Evelyn Salt Pole weeeee..... unaenda kudinywa kwenye kakibanda ka Monica

Unamuona Evelyn Salt wakudinywa kizembekizembe? Si unaona pigo zake kwenye avatar, ukimletea usela wa kijingajinga anakuchenjia vilevile. Kanuni ya wapi hiyo ukiwa na pisi Kali lazima mdinyane? Yaani hauwezi kufanya mambo mengine na mwanamke bila kuhusishwa kimasihara?
 
Pole sana
 
Maoni binafsi kwenu waleta hadithi iwe za kweli ama kubuni ,Ikiwapendeza wekeni simulizi zenu zikiwa zimekamilika sehemu kama flash,memory card NK.

Hii itakufanya uwe unachomoa vipande vipande na kuviita sehemu ya 1,ya 2...wewe utakua tu una hariri na kutuma.Hata ikitokea changamoto kama muda,ugonjwa ,ajali haikufanyi upate utulivu mwingi kuanza kuandika.

Haya ni maoni binafsi nikirejea mfano kama 2 Pac aliendelea kutoa ngoma hata pale alipofariki..Familia iliendelea kunufaika na jamii kwa ujumla hata kama simulizi zako utaamua kutofanya ya kibiashara.

Nipo tayari kukosolewa.... kwako UMUGHAKA na wengineo.
 
Achana na Bujibuji Simba Nyamaume mbususu kaijulia uzeeni ndio maana inampeleka puta
 
Heee..... kumbe Evelyn Salt ana msemaji wake na afisa habari hapa jukwaani?
 
Mkuu mludego nimekupata kaka,japo mimi haka nikastori kafupi tu ambako nimeona nishee na nyinyi ili muone namna jamii ya watu wachawi ilivyotamba hapo kijijini kwa kipindi nilichokuwepo,hii siyo stori ndefu kama unavyodani kaka sema hatuwezi kuandika mwanzo mpaka mwisho ndiyo maana nimezipa viepisodi mkuu.Ili wazo nadhani litawafaa waandishi wengi humu ndani.
 
Hahaha mkuu baada ya kusemwa hiyo bhebhee mbio ambazo ningetoka hapo wangecheka wenyewe
 
Mambo yetu tuachie wenyewe
Cc Smart 😁😁
Siku hz ww na the Monk n km mahondw & smart πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…