Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Pole sanaNishakunywa maji ya kutosha. Nilikuwa sijui namna ya kuruka pale juu maji yanapoanza kuporomoka chini, nikajikuta nimefikia kwenye kina kirefu pale chini, na kujikuta nataka kufa maji. Wenzangu wakaniokoa!
Underground ya bweni la mkapa na kule uwanja wa basket ballTumedinya sana watoto wa kalobe sec pale uboyizini.
Akipita tu kule nyuma ya bweni unaita hasa wale wa lumbila
Jamaa katomber msukule😁🤣!😂😂😂😂😂😂 ila hpo umetoka nduki kama mwehu nimejiweka me nahis ningezimia , umughaka nalekotogwa😜😜.
Nani kakudanganya wanyantuzu sio wasukuma? Hiyo ntuzu ni chiefdom tu (utawala wa kitemi) lakini ni wasukuma walewale. Ni sawa na kusema Badaka, Bakwimba, Banyantuzu nk. Hizo ni koo au utemi fulani lakini pia kuna tofauti katika utamkaji wa maneno ya kisukuma lakini wao wanaelewana. Msukuma wa Ntuzu au Bariadi anasikilizana na kuelewana vizuri tu na msukuma wa Balaturu Igunga. Ni sawa na kiswahili cha Bara na Pwani au kiingereza cha Uingereza na Marekani.Sidhani ,
Simiyu si ni wanyantuzu?? Haina wakina maganga
Jamaa alikuwa focused na kile kilichompeleka, mengine ilikuwa ni kelele tu zilizompotezea muda. Ndio maana alipoambiwa twende kwenye miembe aligoma akitaka apate kilichompeleka😁🤣Mzee syo Siri Una moyo Mimi isingesimama
Paka akiona samaki lazma atoe mlio wa nyauh nyauh! [emoji12]Duh...
Uliwezaje kudindisha aiseee.
Fita ni fita muraaaa!!Dah mzeebaba ukanyandua papuchi ya mchawi. Kweli una mizimu mikali balaa..
majini ndio matamuWachawi huwa watamu sana