Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Hatari sana
 
Nipo hapa ntarudi
 
Pole Sana kk
 
Wapo wanaosema chai japo kwangu Mimi iwe au isiwe nilipenda tangu nisome tu jina la simulizi!
Huko duniani tunakofahamiana yupo jamaa anaitwa George Iron Mosenya yule bwana kwangu mimi ndio bingwa wa simulizi kwa kizazi hiki na nikiwa naisoma hii nakumbuka simulizi yake moja inakwenda kwa jina la MAMAAKE MAMA
 
Hivi baada ya kupakana dawa mwili mzima,ulioga ndio ukaondoka? au ulioondoka na mipako yako ya dawa? au ilikuaje?...na hizo dawa zilikua km poda/vumbi au zilikua km mafuta mkadinyana huku ikitelezea ndani kilaini
Daah huko naona hata baada ya mdunyano hakuna kuoga mnabaki na mitelezo yenu🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…