Tungemchagua ..SALIM AHMED SALIM.........
nafasi ya urais huu ilikuwa yake ..akadhulumiwa kwa kampeni chafu za maji ya taka za wanamtandao wakiwashirikisha zanzibar[na wanaojiita baraza la mapinduzi]....uchafu wa kampeni za wanamtandao na jk...zitaendelea kuwaandama wao kwani machozi ya waliochafuliwa kama kina ..malecela,kigoda,sumaye.,msuya....kitine,simba , na wengine wengi walioonekana tishio kwa mgombea wao...yataendelea kumuandama jk...kwa kufanya kiini macho watu na itazidi kumsaababishia laana...hasa kwa kufikia kutumia jina la mungu...kusema chaguo la mungu....JK anahitajika kutubu dhambi alizowafanyia wenzake ....kwa kuwaomba msamaha one in one....
...................................................................................................Kwa swali husika, Salim hayupo maana alishatupwa na chama chake. Nakubaliana na mtoa mada, kuwa kama tulikosea kumchagua JK, 2005, tungenchagua nani?. Jibu ni kuwa 2005, hatukokosea kumchagua JK kwa vile hatukuyajua mambo yake, ila pia kati ya wote aliosimama nao 2005, JK was the best option.........................................................................................................Ya 2005 yamepita sasa yanakuja ya 2010, kama tulukosea, kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa kwa kumchagua tena JK 2010. Ili kujua tutamchagua au laa, lazima tujue atasimama na nani. Kama wapinzani hawana mtu makini wa kusimamas na JK, yakawa ni maboya matupu kama 2005, them for sure 2010 ni JK tena japo sio kwa kishindo kama cha 2005........................................................................................................Narudia kuusema msemo huu, na nitakuwa ninaurudia rudia kila mara mpaka baada ya uchaguzi........................................................................................................."Kuna wengi wanaichagua CCM, sio kwa sababu wanaipenda, bali kwa sababu hawana jinsi, hivyo kuliko kupoteza kura yako, bora kumpa mwenye nacho, anaongezewa, kuliko kumpa asiyenacho, maana atanyang'anywa hata kidogo alichonacho"........................................................................................"Na kuna wengine wengi wanaichagua CCM, kwa sababu ya kutopata fursa zaelimu ya uraia, hivyo hawajui watendalo, ndicho kilichotokea Busanda na Biharamulo, baada ya zile chaguzi ndogo, elimu imewafika, hivyo maeneo yote yenye mwamko wa kielimu, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, kanda ya Ziwa, CCM inakazi kidogo sio mteremko"........................................................................................................"Sehemu zenye maendeleo duni, hali ya mazingira za shida shida, kama mikoa ya Kusini, Singida, Dodoma and the like, CCM ndio baba, CCM ndio mama"........................................................................................................."Angalizo: Huu ni mtazamo wangu sina lengo la kuwatusi watu wala kufagilia mtu, 2010 ni CCM tena!".