Tulilikataa agizo la Magufuli la kuzuia mikutano ya siasa hadi nyakati za Uchaguzi, sasa mambo ya Utekaji ya enzi za akina Dk. Ulimboka yamerudi!

Tulilikataa agizo la Magufuli la kuzuia mikutano ya siasa hadi nyakati za Uchaguzi, sasa mambo ya Utekaji ya enzi za akina Dk. Ulimboka yamerudi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Demokrasia ya Tanzania bado ni changa na kuvumiliana Siasani kuko very limited

Mikutano ya Kisiasa huamsha hisia, mihemko na Mijadala isiyo na tija kwa Wananchi hivyo kuwapotezea Muda wao wa kuzalisha na kujipatia kipato

Ndio Sababu wakati wa katazo la Mikutano ya holela ya Wanasiasa nchi ilitulia Wananchi wakajikita kwenye Shughuli zao za Maendeleo

Ilipofika 2020 Wagombea wote akiwemo nguli Tundu Lisu kutoka Ubelgiji wakapata fursa ya kwenda sehemu yoyote waliyotamani kufanya Siasa za kampeni

Soma Pia:
Bado nadhani Shujaa Magufuli alikuwa Sahihi hasa nikishuhudia jinsi mchungaji Msigwa anavyotumia ruksa ya kufanya Mikutano ya hadhara kuitukana Chadema na hasa mwenyekiti wake mh Mbowe

Samahani Lakini 😂

Nawatakia Sabato Njema
 
Demokrasia ya Tanzania bado ni changa na kuvumiliana Siasani kuko very limited

Mikutano ya Kisiasa huamsha hisia, mihemko na Mijadala isiyo na tija kwa Wananchi hivyo kuwapotezea Muda wao wa kuzalisha na kujipatia kipato

Ndio Sababu wakati wa katazo la Mikutano ya holela ya Wanasiasa nchi ilitulia Wananchi wakajikita kwenye Shughuli zao za Maendeleo

Ilipofika 2020 Wagombea wote akiwemo nguli Tundu Lisu kutoka Ubelgiji wakapata fursa ya kwenda sehemu yoyote waliyotamani kufanya Siasa za kampeni

Soma Pia: TLS, yatoa orodha ya watu waliopotea na kutekwa na tamko juu ya ongezeko la vitendo vya utekaji na upoteaji wa watu nchini

Bado nadhani Shujaa Magufuli alikuwa Sahihi hasa nikishuhudia jinsi mchungaji Msigwa anavyotumia ruksa ya kufanya Mikutano ya hadhara kuitukana Chadema na hasa mwenyekiti wake mh Mbowe

Samahani Lakini 😂

Nawatakia Sabato Njema
Na wewe usitukumbushe wendawazimu na uvunjaji Katiba wa yule dhalim wa Chato.
 
Demokrasia ya Tanzania bado ni changa na kuvumiliana Siasani kuko very limited

Mikutano ya Kisiasa huamsha hisia, mihemko na Mijadala isiyo na tija kwa Wananchi hivyo kuwapotezea Muda wao wa kuzalisha na kujipatia kipato

Ndio Sababu wakati wa katazo la Mikutano ya holela ya Wanasiasa nchi ilitulia Wananchi wakajikita kwenye Shughuli zao za Maendeleo

Ilipofika 2020 Wagombea wote akiwemo nguli Tundu Lisu kutoka Ubelgiji wakapata fursa ya kwenda sehemu yoyote waliyotamani kufanya Siasa za kampeni

Soma Pia:
Bado nadhani Shujaa Magufuli alikuwa Sahihi hasa nikishuhudia jinsi mchungaji Msigwa anavyotumia ruksa ya kufanya Mikutano ya hadhara kuitukana Chadema na hasa mwenyekiti wake mh Mbowe

Samahani Lakini 😂

Nawatakia Sabato Njema
Wanaweza kukuteka hata bila mikutano ya vyama vya siasa
 
Kwa namna mchungaji Msigwa anavyomchokoza Mbowe ni Lazima tukumbushane bwashee
Msigwa ile ni bidhaa imenunuliwa haina ishu na unaona alivyowachuuza polisi kwa tamko lile la jana, hivi kweli Jeshi la polisi ni la kuogopa vijana 20 wa Chadema wasiokuwa na silaha hadi kutoa tamko lile? Lile ni tango pori la Msigwa na wazee wa PGO wakalifakamia hivyo hivyo.
 
Msigwa ile ni bidhaa imenunuliwa haina ishu na unaona alivyowachuuza polisi kwa tamko lile la jana, hivi kweli Jeshi la polisi ni la kuogopa vijana 20 wa Chadema wasiokuwa na silaha hadi kutoa tamko lile? Lile ni tango pori la Msigwa na wazee wa PGO wakalifakamia hivyo hivyo.
Ila Msigwa kawaweza kweli polisiccm wameingia kichwa kichwa🤣🤣🤣🤣
 
Kama CHADEMA wanaweza kufanya mkutano wa Zoom na hakuna ushahidi wowote wa picha wala video basi sisiemu wamfukuze mchungaji mbuzi msigwa maana anawaingiza chaka.
 
Back
Top Bottom