Tulilima mboga na ziliuzwa, lakini hatukuwahi kupewa mrejesho wa mauzo yetu

Tulilima mboga na ziliuzwa, lakini hatukuwahi kupewa mrejesho wa mauzo yetu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Tukiwa shule ya msingi, tulipewa eneo la kulima. Tuligawanywa maji si ya watu kumi na kila kundi lilipiga kura kumchagua kiongozi wa kundi. Amina alipata kura nyingi katika kundi letu hivyo akawa kiongozi wetu.

Tulipewa majembe na kuanza kuchimba mafuta. Kila kundi liliamua nini kitapandwa katika tuta lao. Wengine walipanda nyanya, Chinese, vitunguu, sisi tulipanda mchicha. Tulipewa mbegu na tuliotesha vitalu. Tulitaarisha matuta na mbolea na baada ya wiki mbili tulihamisha mchicha kwenye mafuta. Tulipewa ndoo za kumwagia bustani kabla ya kwenda nyumbani baada ya masomo.

Mchicha wetu ulifikia pa ki una, ulivunwa na kuuzwa kwa walimu. Kitu ninachokumbuka ni kutopewa mrejesho wa kazi yetu. Hakukua na taarifa ya mapato ya mchicha wetu. Ilipaswa tupewe mrejesho na kuambiwa katika pesa hizi mnaamua tununue nini? Ninadhani wengi tungeamua kula ice cream lakini huu ulikua mwanzo mzuri wa kufundishwa kilimo, kujitegemea na pia demokrasia.
 
Chadema mnalima mafuta mnavuna Chinese na mchicha 😀😀😀


Hayo mliyovuna ni maendeleo ya vitu tafuteni demokrasia kwanza
 
Mchicha mnapanda kwenye vitalu? Kweli mlovamia fani. Kama hamkua na mwalimu wa kilimo mngefannya ziara kwa wataalam kabla hamjalishana methodology mbovu mbovu. Mkikurupuka na wazo tu hamfanyi upembuzi yakinifu moja kwa moja kwenye utekelezaji!?

Mafuriko si kura.
 
Tukiwa shule ya msingi, tulipewa eneo la kulima. Tuligawanywa maji si ya watu kumi na kila kundi lilipiga kura kumchagua kiongozi wa kundi. Amina alipata kura nyingi katika kundi letu hivyo akawa kiongozi wetu.

Tulipewa majembe na kuanza kuchimba mafuta. Kila kundi liliamua nini kitapandwa katika tuta lao. Wengine walipanda nyanya, Chinese, vitunguu, sisi tulipanda mchicha. Tulipewa mbegu na tuliotesha vitalu. Tulitaarisha mafuta na mbolea na baada ya wiki mbili tulihamisha mchicha kwenye mafuta. Tulipewa ndoo za kumwagia bustani kabla ya kwenda nyumbani baada ya masomo.

Mchicha wetu ulifikia pa ki una, ulivunwa na kuuzwa kwa walimu. Kitu ninachokumbuka ni kutopewa mrejesho wa kazi yetu. Hakukua na taarifa ya mapato ya mchicha wetu. Ilipaswa tupewe mrejesho na kuambiwa katika pesa hizi mnaamua tununue nini? Ninadhani wengi tungeamua kula ice cream lakini huu ulikua mwanzo mzuri wa kufundishwa kilimo, kujitegemea na pia demokrasia.
Nafikiri ndio elimu yetu inapokosea. Haitufundishi ujasiriamali.
Mmelima na vilimea vizuri mpaka mazao yakaonekana, haikutakiwa kuishia labda kusifiwa tu kwamba bustani yenu imenawiri, mlitakiwa mshirikishwe na kujadili soko la mazao yenu, wapi kwa bei gani n.k., na pesa zikipatika mnataarifiwa kiasi kilichopatika na mtazitumia kwa mambo gani, pia kufanya ulinganisho na wengine waliolima vitu tofauti, changamoto, mbinu kupata ama mazao au pesa zaidi n.k.
Hiyo ingemjengea mtoto ujuzi, uzoefu na mbinu ya ujasiriamali hata akiwa mtu mzima, ataendeleza alichojifunza kidogo kidogo au kuwa biashara kubwa.
 
Tukiwa shule ya msingi, tulipewa eneo la kulima. Tuligawanywa maji si ya watu kumi na kila kundi lilipiga kura kumchagua kiongozi wa kundi. Amina alipata kura nyingi katika kundi letu hivyo akawa kiongozi wetu.

Tulipewa majembe na kuanza kuchimba mafuta. Kila kundi liliamua nini kitapandwa katika tuta lao. Wengine walipanda nyanya, Chinese, vitunguu, sisi tulipanda mchicha. Tulipewa mbegu na tuliotesha vitalu. Tulitaarisha mafuta na mbolea na baada ya wiki mbili tulihamisha mchicha kwenye mafuta. Tulipewa ndoo za kumwagia bustani kabla ya kwenda nyumbani baada ya masomo.

Mchicha wetu ulifikia pa ki una, ulivunwa na kuuzwa kwa walimu. Kitu ninachokumbuka ni kutopewa mrejesho wa kazi yetu. Hakukua na taarifa ya mapato ya mchicha wetu. Ilipaswa tupewe mrejesho na kuambiwa katika pesa hizi mnaamua tununue nini? Ninadhani wengi tungeamua kula ice cream lakini huu ulikua mwanzo mzuri wa kufundishwa kilimo, kujitegemea na pia demokrasia.
Sijui ulikua Shule gani na ilikua mwaka gani, ila ile ya kua tu chini ya CCM ni ishara tosha kua "mngepigwa" tu.

Itoshe tu kusema CCM na Upigaji ni
images (2).jpeg
 
Samahani Ndugu mleta mada. Hivi umesema ulikuwa mwanafunzi au MJUMBE WA KAMATI YA MAPATO NA MATUMIZI YA SHULE?

Tukianzia hapa njia itakuwa fupi.
 
Aliye wapa majembe, eneo na ndoo aliona anahaki zaidi ya matumizi ya mavuno.
 
Mafuta!
Me nilidhani unazungumzia matuta, kumbe ni mafuta kutokana na ulivyolirudia rudia!
Sasa ishu kama ni mafuta, yanalimwa ama yanachimbwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiwa shule ya msingi, tulipewa eneo la kulima. Tuligawanywa maji si ya watu kumi na kila kundi lilipiga kura kumchagua kiongozi wa kundi. Amina alipata kura nyingi katika kundi letu hivyo akawa kiongozi wetu.

Tulipewa majembe na kuanza kuchimba mafuta. Kila kundi liliamua nini kitapandwa katika tuta lao. Wengine walipanda nyanya, Chinese, vitunguu, sisi tulipanda mchicha. Tulipewa mbegu na tuliotesha vitalu. Tulitaarisha mafuta na mbolea na baada ya wiki mbili tulihamisha mchicha kwenye mafuta. Tulipewa ndoo za kumwagia bustani kabla ya kwenda nyumbani baada ya masomo.

Mchicha wetu ulifikia pa ki una, ulivunwa na kuuzwa kwa walimu. Kitu ninachokumbuka ni kutopewa mrejesho wa kazi yetu. Hakukua na taarifa ya mapato ya mchicha wetu. Ilipaswa tupewe mrejesho na kuambiwa katika pesa hizi mnaamua tununue nini? Ninadhani wengi tungeamua kula ice cream lakini huu ulikua mwanzo mzuri wa kufundishwa kilimo, kujitegemea na pia demokrasia.
yaani ilikua ikifika mavuno walikua wanakua wakali sana😀😀 pesa wananunualia redio cassette
 
yaani ilikua ikifika mavuno walikua wanakua wakali sana😀😀 pesa wananunualia redio cassette
Na muakilishi wetu Amina hakua na ubavu wa kuhoji matokeo ya nguvu zetu.
 
Back
Top Bottom