Tulinasana wakati tukijamiiana

huu mwaka bora uishe, sitasahau siku niliyonasa kiunoni kwa masaa tisa nikijamiana na mwanamke.
sikujua kuwa ni mke wa mtu hadi aliposema yeye ni mke wa mtu na tukampigia bwanake simu kumjulisha kuwa teso lake limenasa.
Mmmmh pole sana kwa mkasa uliokukumba!
 
Si unajua tena FD, hebu nifundishe njia za kileo... Labda Madam T anaweza kunifikiria katika kipindi hiki cha maajilio
mie mwenyewe siku hizi nimeshasahau kutongoza uwa natanguliza cash tu na nikiona wananizingua naenda Jolly
 
Hivi kwa nini wanaume ndo wanapenda kuwawekea wake zao tego.... kwa nn hatusikii wanawake wakiwekea waume zao hiyo mitego?





Askofu kwani hujasikia wanaume wakilalamika hapa kuwa wakienda kucheza ugenini jongoo hapandi mtungi?
 
Dawa ya tego ni njegele mbichi....ukimhisi ni demu au mke wa mtu...wakati unaongea naye unazishika njegele viganjani huku unachezesha mikono kama dk mbili hivi but asijue then zichungulie,kama ukikuta zimekauka basi hapo kuna tego na style pekee ni chuma mboga(doggy style), hautanasa....ila njegele zikiwa bado mbichi basi iko free endelea style zote!
 

Jamani JF iko juu sana, hadi waganga wa jadi wana visit!
 
mie mwenyewe siku hizi nimeshasahau kutongoza uwa natanguliza cash tu na nikiona wananizingua naenda Jolly

lol, FD... we kiboko... Kila la Kheri... (Do not forget to condomize)...

Askofu kwani hujasikia wanaume wakilalamika hapa kuwa wakienda kucheza ugenini jongoo hapandi mtungi?

Anhaaaaaaaa.... Kumbe na wao wanafanya hivyo? Duh...


Kweli we Zamanizamani....

Sasaaaa??? Utakuwa kila ukienda kutongoza unabeba njegele?
 
salute mkuu hii nimeipenda sana
 
Bado sijaelewa....mlinasaje? Ninachojua mimi mbwa ndo hunasa tena wanaweza kunasa hadi masaa kwa sababu dhakari ya mbwa inakuwa na fundo pindi iingiapo ndani ya uke. Sasa hii ya binadamu kunasa aaaah....
 
hiyo ndo balaa.
 
Mbona huelezi mwenye mali alikufanyaje? nadhani emu 1 haikutosha.
 
huu mwaka bora uishe, sitasahau siku niliyonasa kiunoni kwa masaa tisa nikijamiana na mwanamke.
sikujua kuwa ni mke wa mtu hadi aliposema yeye ni mke wa mtu na tukampigia bwanake simu kumjulisha kuwa teso lake limenasa.
Hizi huwa nazisikia kama simulizi tu kutoka kwa watu ambao walisimuliwa... sasa kwa kuwa hapa 'nimekutana' na mwathirika mwenyewe, naomba ufafanue kwa undani hasa inakuwaje kwenye huko kugandana. Ni ngozi ndizo zinagandana au kunakuwa na nguvu gania mbayo inasababisha mshindwe kubanduka?
 
Ni kama imekaa kama kama mastori ya kibonde vilee
 
Sasa mmempigia mumewe ya nini? mngeendelea kula uroda tu. Mi ningefurahi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…