Mmmmh pole sana kwa mkasa uliokukumba!huu mwaka bora uishe, sitasahau siku niliyonasa kiunoni kwa masaa tisa nikijamiana na mwanamke.
sikujua kuwa ni mke wa mtu hadi aliposema yeye ni mke wa mtu na tukampigia bwanake simu kumjulisha kuwa teso lake limenasa.
mie mwenyewe siku hizi nimeshasahau kutongoza uwa natanguliza cash tu na nikiona wananizingua naenda JollySi unajua tena FD, hebu nifundishe njia za kileo... Labda Madam T anaweza kunifikiria katika kipindi hiki cha maajilio
Hivi kwa nini wanaume ndo wanapenda kuwawekea wake zao tego.... kwa nn hatusikii wanawake wakiwekea waume zao hiyo mitego?
Ilinitoka 1m mzazi. k ni tamu lakini ina mateso yake
Dawa ya tego ni njegele mbichi....ukimhisi ni demu au mke wa mtu...wakati unaongea naye unazishika njegele viganjani huku unachezesha mikono kama dk mbili hivi but asijue then zichungulie,kama ukikuta zimekauka basi hapo kuna tego na style pekee ni chuma mboga(doggy style), hautanasa....ila njegele zikiwa bado mbichi basi iko free endelea style zote!
mie mwenyewe siku hizi nimeshasahau kutongoza uwa natanguliza cash tu na nikiona wananizingua naenda Jolly
Askofu kwani hujasikia wanaume wakilalamika hapa kuwa wakienda kucheza ugenini jongoo hapandi mtungi?
Dawa ya tego ni njegele mbichi....ukimhisi ni demu au mke wa mtu...wakati unaongea naye unazishika njegele viganjani huku unachezesha mikono kama dk mbili hivi but asijue then zichungulie,kama ukikuta zimekauka basi hapo kuna tego na style pekee ni chuma mboga(doggy style), hautanasa....ila njegele zikiwa bado mbichi basi iko free endelea style zote!
salute mkuu hii nimeipenda sanaDawa ya tego ni njegele mbichi....ukimhisi ni demu au mke wa mtu...wakati unaongea naye unazishika njegele viganjani huku unachezesha mikono kama dk mbili hivi but asijue then zichungulie,kama ukikuta zimekauka basi hapo kuna tego na style pekee ni chuma mboga(doggy style), hautanasa....ila njegele zikiwa bado mbichi basi iko free endelea style zote!
hahaa haaaaaaaaaaaaaa hizi story ni za kweli au uzushi tuu mlinasaje na ulikuwa ushapiz au ndio game ilikuwa mbichi?
Kimbweka umenichekesha sana yaani amkumbuke Muumba wakati alikuwa anavunja amri kuu za Muumba atasikilizwa kweli??
ni uongo huu wabongo wazushi kinoma
Hivi ni habari za kufikirika!
hiyo ndo balaa.we unaongea hivyo, bora ulinata...kuna jamaa kule Ifunda Tech miaka fulani, kule iringa kwa wale wanaokujua....alichukua mke wa mtu. basi akaondoka kwa usalama kabisa akiwa amemaliza shughuli yake..alipofika mbali, akapata haja ya mkojo, akasema ngoja nikojoe..alivyoanza kukojoa mkojo unatoka, kidude kikachomoka chote, kikaenda na mkojo kikadondoka chini. pakabaki kama hapakuwa na kitu kabisa yaani pameungana nyama imejirudi, ukisema maeneo ni ya mke, uke haupo, hivyo ni aina fulani tu ya mwili na kidude kimedondoka..JAMAA LICHOFANYA, ALIKIOKOTA akakishika mkononi mbio kwa mwibiwa, akaeleza ukweli wote. si unajua wahehe, alichokipata ilikuwa fundisho kwa wanafunzi wote. unalipa hela na kifo juu.
Hizi huwa nazisikia kama simulizi tu kutoka kwa watu ambao walisimuliwa... sasa kwa kuwa hapa 'nimekutana' na mwathirika mwenyewe, naomba ufafanue kwa undani hasa inakuwaje kwenye huko kugandana. Ni ngozi ndizo zinagandana au kunakuwa na nguvu gania mbayo inasababisha mshindwe kubanduka?huu mwaka bora uishe, sitasahau siku niliyonasa kiunoni kwa masaa tisa nikijamiana na mwanamke.
sikujua kuwa ni mke wa mtu hadi aliposema yeye ni mke wa mtu na tukampigia bwanake simu kumjulisha kuwa teso lake limenasa.