Tulio chaguliwa muhas tujuane jamani

Tutajuana tukifika Chuoni, kunatofauti gani nikikutajia jina humu kwenye JF na yale majina yaliyobandikwa kwenye mbao za matangazo pale chuoni? Utoto na ulimbukeni bwana, wewe ndio wa kwanza kijijini kwenu eeeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…