Professional Trader
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 1,220
- 1,120
Ndugu watanzania na wana member wezangu wa Jf ...
Habari zenu viongozi wangu..... Natumai ni wazima wa Afya ...Eeh bwana wacha niende moja kwa moja kwenye point ya misingi iliyonifanya mimi kuuanzisha uzi huu ...
Mnamo mwaka jana mbaka mwaka huu mwanzoni kama sijakosea kulikuweko na uvumi wa maneno mtaani na ata kwenye baadhi ya vyomba ambavyo vinaeneza habari kwa umma kuwa Mh, Mkuu mwenyewe akitamka kwamba mtu yeyote asiyekua na la kufanya na wenginewe wengi ambao mpo mjini Dar es salam UKIFIKA MWEZI WA SABA MTAUKIMBIA MJI KWA KULUDI VIJIJI KULIMA NA KUBAKI WENYE SHUGHURI MAARUMU YA KUAFANYA na tumeona watu wengi wamepindua na kukurudi vijijini Ivyo DHUMUNI LA HII THREAD NI KUJIPONGEZA KWA WALE WATU WOTE AMBAO TUMEWEZA KUTOBOA MBAKA MWEZI WA SABA TUKIWA NDANI YA JIJI TUNAPETA NA BADO TUNAKAMA MIAKA 7 MBELE YA KUPETA na pia kwa wale ambao tumetoboa ivo ivo KIUBISHIHI UBISHI bila ya kujali ulifadhiliwa au kujiongeza kupita KIASI
KARIBUNI WATU WANGU WA NGUVU TUJIPONGEZE[emoji111] [emoji109] [emoji120] [emoji123] [emoji122] [emoji482] [emoji494] [emoji487] [emoji488] [emoji489] [emoji486] [emoji485] [emoji484] [emoji526] [emoji523] [emoji510] [emoji512] [emoji521] [emoji529] [emoji817] [emoji818]
DU$$U. √√√
Habari zenu viongozi wangu..... Natumai ni wazima wa Afya ...Eeh bwana wacha niende moja kwa moja kwenye point ya misingi iliyonifanya mimi kuuanzisha uzi huu ...
Mnamo mwaka jana mbaka mwaka huu mwanzoni kama sijakosea kulikuweko na uvumi wa maneno mtaani na ata kwenye baadhi ya vyomba ambavyo vinaeneza habari kwa umma kuwa Mh, Mkuu mwenyewe akitamka kwamba mtu yeyote asiyekua na la kufanya na wenginewe wengi ambao mpo mjini Dar es salam UKIFIKA MWEZI WA SABA MTAUKIMBIA MJI KWA KULUDI VIJIJI KULIMA NA KUBAKI WENYE SHUGHURI MAARUMU YA KUAFANYA na tumeona watu wengi wamepindua na kukurudi vijijini Ivyo DHUMUNI LA HII THREAD NI KUJIPONGEZA KWA WALE WATU WOTE AMBAO TUMEWEZA KUTOBOA MBAKA MWEZI WA SABA TUKIWA NDANI YA JIJI TUNAPETA NA BADO TUNAKAMA MIAKA 7 MBELE YA KUPETA na pia kwa wale ambao tumetoboa ivo ivo KIUBISHIHI UBISHI bila ya kujali ulifadhiliwa au kujiongeza kupita KIASI
KARIBUNI WATU WANGU WA NGUVU TUJIPONGEZE[emoji111] [emoji109] [emoji120] [emoji123] [emoji122] [emoji482] [emoji494] [emoji487] [emoji488] [emoji489] [emoji486] [emoji485] [emoji484] [emoji526] [emoji523] [emoji510] [emoji512] [emoji521] [emoji529] [emoji817] [emoji818]
DU$$U. √√√