[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe unatutafuta si bure[emoji848][emoji848]
Sisi tumeamua kujifanania na mama yetu kipenzi
Kweli kabsaaSio kila kitu kibaya Ila wanaume ndo wanaumiaga kwenye mapenzi kuliko wanawake
Pole.. Nichek inbobo nijiwekee!Habarin zenu..? leo tujuane tulio single na kwa nin tuko single [emoji174]
mwenzenu niko single kwa sababu bado sijampta aliye ubavu wangu naangaika na mibavu ya watu mwshowe naumizwa tuView attachment 1561737
😂😂😂😂 Eti mahusiano yaliyolegealegeaLoneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada 😆😆😆
We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.
Dah!that's why she's Saint Anne
😂😂😂😂asee nimecheka balaa, hicho kiji-idea ni real kabisa.
Kwahio mtindo wako ni kujichomeka tu au sio?🤣🤣🤣Loneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada 😆😆😆
We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.
Ubaya wa huu uzi kila baharia atajifanya yupo single ili kutafuna free papuchi 🤣🤣🤣 na wadada wasio waaminifu watatumia mwanya huo kuonjwa nje.Single ladies & gents in the mix [emoji16].....tuendelee kujuana jaman[emoji28]
Hahahah Chemistry yenu ya sikuhizi si hela tu! Ubaya kila mwanamke anataka mwanaume mwenye hela matokeo yake Demand ni kubwa kuliko supply mnaanza kugombania ukuni sasa. Mnapangwa foleni 🤣🤣🤣Kila mtu ana soko banah sema kupata ambaye chemistry yenu iko on fire ndo shida
Hahahaha ,umeelewekaNot single not taken. Nipo tu kuonja onja wapenzi wa watu wengine, nikionja nikinogewa naweka makazi ya muda [emoji38]
Shaka ondoa mume umempata, nina communion, ekaristi, kipaimara kilichobakia ni ndoa tu kati ya mimi na wewe mrembo~~~Alisikika baharia mmoja.Naitaji mwanaume mchamungu basi sina mbwembwe iko ndo kigezo changu kikuu vingine vingine ata akikosa fresh tu
[emoji16]Hyo tabia ya kulewa mchana umeianza lini tena ExtroShaka ondoa mume umempata, nina communion, ekaristi, kipaimara kilichobakia ni ndoa tu kati ya mimi na wewe mrembo~~~Alisikika baharia mmoja.
Haijalishi mwanaume awe mwenye hela au lofa foleni tunapangwa tu[emoji28].....tena wasio na hela wakizipata ulimbukeni wao unaweza shangaa hvi ni yule humble bae wangu au mwengineHahahah Chemistry yenu ya sikuhizi si hela tu! Ubaya kila mwanamke anataka mwanaume mwenye hela matokeo yake Demand ni kubwa kuliko supply mnaanza kugombania ukuni sasa. Mnapangwa foleni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi punguza baba utatupa presha bure....mm binafsi sitaki kukupoteza hata km unatupangaga[emoji12]View attachment 1565216
Migombani huku mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]