KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kwani ume comment wapi?Tusio na mualiko tunacomment wapi ๐
Kwa waitaliano tena?VP.mvinyo uyakuwepo? Maana ndio.nimekuta ujumbe wake hapa home kwa mlinzi wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
I'll be there. Andaa meza na Martin RossoNadhani tukikutana mapema jukwaani tutaweza kufanya maandalizi ya pamoja, tukae meza moja kama JamiiForums, tubadilishane mawazo, uzoefu nk.
Niko hapa
Uhuru gani tena wanao uzungumzia?Sharamdala ameniibia kadi leo
Nadhani tukikutana mapema jukwaani tutaweza kufanya maandalizi ya pamoja, tukae meza moja kama JamiiForums, tubadilishane mawazo, uzoefu nk.
Niko hapa
Mie ninavyowachukia mabalozi wetu waliowafanyia vijana wetu mtima nyongo kuhusiana na uraia pacha. Siwezi kuhudhuria jap niko mbali. Hata ningekuwa Roma nisingepoteza muda wangu kwa mijitu yenye roho kutuNadhani tukikutana mapema jukwaani tutaweza kufanya maandalizi ya pamoja, tukae meza moja kama JamiiForums, tubadilishane mawazo, uzoefu nk.
Niko hapa
Ya njano na viatu vya pink utapendeza sanaNawaza hapa nivae suti gani.
litutumbwe hivi yupo?Sharamdala ameniibia kadi leo