Dah . 🥰Nimetoka kususu
Nje kuna manyunyu
Na hivi baadae kuna ka holiday, basi now ni kuperuzi tu.
Nitalala baada ya chai.
Ujumbe upo openly,,Mtoa mada unawaza nn[emoji28]
Hata uandishi wako unaonesha una frahaNimetoka kususu
Nje kuna manyunyu
Na hivi baadae kuna ka holiday, basi now ni kuperuzi tu.
Nitalala baada ya chai.
Hahahaaa....tupo wengi kumbe....mi nina siku mbili sasa silali ila najiegesha tu....usiku wa jana na leo.....Kausingiz kamekata,wewe je?
Ni wapi huko mmepata neema?Nimetoka kususu
Nje kuna manyunyu
Na hivi baadae kuna ka holiday, basi now ni kuperuzi tu.
Nitalala baada ya chai.
Hata mimi pia hivyohivyoHahahaaa....tupo wengi kumbe....mi nina siku mbili sasa silali ila najiegesha tu....usiku wa jana na leo.....
Aisee..😍Kausingizi kamekata nipo tu nazurura zurura online.
Umependa ehAisee..[emoji7]
Jichange uhamie kwenye ka single self kususu ni humo humo ndani.Nimetoka kususu
Nje kuna manyunyu
Na hivi baadae kuna ka holiday, basi now ni kuperuzi tu.
Nitalala baada ya chai.