Jamani habari zenu,mimi nimechaguliwa chuo tajwa hapo juu,hivyo naomba kukutana na wenzangu waliochaguliwa hapo au wanaosoma hapo ili tujuzane mambo muhimu kuhusu chuo.
Kama jinsi ya kufika chuoni, mazingira, jinsi ya kuripoti, joining instruction n.k na udugu au urafiki unaanzia hapa tukikutana huko hakuna kushangaana.
PIGA/TUMA UJUMBE 0657445777 au niPM.
THANKS.