Tuliodhani tunahitaji Bunge live bila Wabunge live, tulipotea

Tuliodhani tunahitaji Bunge live bila Wabunge live, tulipotea

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Wengi tulilia Bunge liwe live tukidhani tunahitaji Bunge bila wabunge walio live.

Leo tuna Bunge bila wabunge, tuna Bunge live bila wabunge live Jambo linalopelekea bunge la bajeti kukosa mvuto na kuonekana kama sehemu yakulipana posho.

Toka Bunge limeanza Hadi leo mtifuano wa hoja hakuna, kiti cha spika kimekuwa kinasimama zaidi na serikali kuliko kuliko kusimama Kama waamuzi.

Bunge limekosa kile kilichoitwa Bunge. Wale tuliomba Bunge Live tungeomba na wabunge walio hai kifikra.
 
Hatukulia Bunge Live kwa ajili ya maswali na majibu,tunahitaji kusikia na kuona uwasilishwaji wa bajeti,mijadala ya upitishwaji na jinsi wanavyotunga sheria za kulisaidia Taifa.Hiki unachoita Bunge Live tunachoonyeshwa ni kiini macho tu.

Wameharibu Bunge kwa hila za wanasiasa na kulifanya mkono wa serikali badala ya kuwa jicho la Wananchi (Waajiri) wao.

Adui wa Tanzania siyo mabeberu Bali CCM iliyojizeesha kwa rushwa/ufisadi wa viongozi wachache.
 
Bunge la safari hii limekuwa genge la waovu lisiko na uhalali wa kuhoji uovu wowote maana lenyewe ni zao la uovu.

Huo muda wanaolionesha live ni aheri wangekuwa wanawaonesha wakulima wa vitunguu na nyanya wa Ilula, Irijga; au hata wakulima wa viazi mviringo kule Njombe.

Binafsi sikuwa hata najua kikao cha bajeti kimeanza.
 
Unategemea nini Kama speaker anashadidia na kufurahia pale form seven wanapopewa muda wa kufungua Dimba na nyongeza juu yake kwenye bunge la budget. Mipasho ya hakina Musukuma, Kibajaji, Jaa people na wa aina hiyo ndio inapigiwa makofi na Speaker wetu.

Tunapodharau elimu na kwenye elimu tena kwenye vyombo kama cha kutunga sheria unategea nini. Mwendazake nna yule mtu mfupi pale Bungeni waliichezea sana hii nchi.

Mama SSH simama imara rudisha nchi kwenye mastari waache warugaruga Wang'ang'ane na kulazimisha legacy.
 
Magufuli, Dr. Bashiru na Prof Polepole ndio walio haribu nchi hii. Wamevuruga kuanzia serikali, vyama vya siasa vyote mpaka CCM yenyewe, raia na mpaka nchi jirani na nchi za nje. Hawa viumbe utafikiri hawakua Watanzania kwa mambo waliokua wakifanya kwenye nchi hii. Cha kushangaza na kusikitisha zaidi walikua wanajiona wanaakili nyingi kuliko raia millioni 60.

Ndugai ni kama mdoli tu unaopelekeshwa kwa tamaa ya tumbo na cheo. Hana mbele wala nyuma. Haijtambui wala hajielewi.

Bunge limekua kama kikao cha watoto wa chekechea na mwalimu wao.

NOTE: Leo Rais Samia amekaa kikao na Alhaj Aliko Dangote kujadiliana kuhusu uwezekano wa kufungua viwanda nchini ili kuongeza ajira, bunge linajadiliana kuhusu wanafunzi kupanda bodaboda.
 
Hivi mzee Halima amefungwa mdomo siku hizi? Sio bungeni Wala Twitter simuoni kabisa au Kuna kitu amepewa Cha kumfungisha mdomo?

Bunge la ndugu-yai ndio bunge dhaifu lililowahi kutokea.

Wabunge aliowachagua Omar Bashir wote Ni mabumunda. Unategemea hoja ya Msingi kutoka kwa MPUSH, kibajaji, Taletale, mwana_f, gwajiboy, mrisho gambo au mzee Kishimboo
 
Mkenda naye nilidhani Ni mtu wa maana msomi wa kileo kumbe naye Ni wale wale.

Alikua na maana gani kumla mkewe mate hadharani kwa umri ule?

Nasubiri siku kitila Mkumbo atakapowasilisha bajeti yake.
 
Mkenda naye nilidhani Ni mtu wa maana msomi wa kileo kumbe naye Ni wale wale.

Alikua na maana gani kumla mkewe mate hadharani kwa umri ule?

Nasubiri siku kitila Mkumbo atakapowasilisha bajeti yake.
Mke wa kwanza walisha achana hivyo hii ni nyumba ya pili mkuu
 
Hivi mzee Halima amefungwa mdomo siku hizi? Sio bungeni Wala Twitter simuoni kabisa au Kuna kitu amepewa Cha kumfungisha mdomo?

Bunge la ndugu-yai ndio bunge dhaifu lililowahi kutokea.

Wabunge aliowachagua Omar Bashir wote Ni mabumunda. Unategemea hoja ya Msingi kutoka kwa MPUSH, kibajaji, Taletale, mwana_f, gwajiboy, mrisho gambo au mzee Kishimboo
Sure yamejaa majitu ya hovyo humo ndani.
 
Piga ua, CCM hawatarudia kuiba uchaguzi kishamba Kama walivyofanya mwaka Jana, wenyewe wanaona jinsi bunge lilivyo pwaya, na wanatamani Sana kungekuwa na wapinzani achana na covid-19, ata kumi tu, yaani ili limewapa fundisho kubwa, me uku nilipo hakuna anayefatilia icho kikao Cha CCM.
 
Mke wa kwanza walisha achana hivyo hii ni nyumba ya pili mkuu
Kuuumbe. Mke wa ndoa wa kitanzania hawezi kufanya ujinga ule mbele ya kamera. Mke wa ndoa anajua mahali pa kumfanyia mume wake Mambo matamu ya kifaragha. Utakuta mke Kama huyu keshazalishwa na wahuni amechoka kua singo matha Sasa anaharibu ndoa za waliotulia nyumbani.
Ndio maana Mimi sitaki kuonja haya madanga. Yanatumia uchawi, limbwata na kutulisha uchafu tuachane na tuliotoka nao enzi za Mwinyi.
 
Piga ua, CCM hawatarudia kuiba uchaguzi kishamba Kama walivyofanya mwaka Jana, wenyewe wanaona jinsi bunge lilivyo pwaya, na wanatamani Sana kungekuwa na wapinzani achana na covid-19, ata kumi tu, yaani ili limewapa fundisho kubwa, me uku nilipo hakuna anayefatilia icho kikao Cha CCM.
Nani afuatilie ujinga wa building and finance? Au ujinga wa nguvu za kiume.?
 
Historia Itamkumbuka SPEAKER kwa kile alichomfanyia Mh. Lissu, matibabu, mafao hadi Kumnyofoa Ubunge wake kwa sababu eti Hakujua alipokuwa Mh. lissu. However, wabunge waitwao COVID-19 Pia wanatuonyesha jinsi huyu Mtu asivyokuwa Makini...Hivi Umuhimu wa Kiapo huko wapi?? Mtu anaapa kuilinda katiba ila akishafika pale Katiba hiyo hiyo anaiona Mavi ya Kuku...
 
Back
Top Bottom