REUBBY
Member
- Aug 23, 2014
- 41
- 1
Jaman kwa ambao tmepata transfer na tulikuwa hatujafanya registration kweny vyuo vya mwanzo baada ya kulipa transfer fees yao kwa usahihi hiv tunaenda moja kwa moja kwenye vyuo tulivyo hamishiwa kufanya usajili au kuna utaratbu mwingine unafata?? Mwenye uelewa atujuze