Tuliofanikiwa kupata transfer za TCU

REUBBY

Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
41
Reaction score
1
Jaman kwa ambao tmepata transfer na tulikuwa hatujafanya registration kweny vyuo vya mwanzo baada ya kulipa transfer fees yao kwa usahihi hiv tunaenda moja kwa moja kwenye vyuo tulivyo hamishiwa kufanya usajili au kuna utaratbu mwingine unafata?? Mwenye uelewa atujuze
 
maswali mengine bna....hovyo hovyo tu...sasa wewe Transfer umepata..unauliza nini sasa???
 
maswali mengine bna....hovyo hovyo tu...sasa wewe Transfer umepata..unauliza nini sasa???

ww mchapafito cjawah kuona umemjbu mtu kistaarabu ''nawasi wasi xana na IQ yako"" mm nmeuliza mtu anaweza kwnda kurpot alipohamishiwa au bado knautaratbu mwngne""" labda ww ulitaka niulze vp? au hum ndan cku hiz mtu huruhusiw kuuliza?????
 
Hongerni mliopta transfer. Hivi kuna alieomba transfer za TCU online amepata?? Maana mie nilituma online naona kimya
 
Hongerni mliopta transfer. Hivi kuna alieomba transfer za TCU online amepata?? Maana mie nilituma online naona kimya

ulkuwa umetma transfer to medical au"" na vp majna yalyo toka ya wale wa medical haukubahatka kuliona lako?
 
ww mchapafito cjawah kuona umemjbu mtu kistaarabu ''nawasi wasi xana na IQ yako"" mm nmeuliza mtu anaweza kwnda kurpot alipohamishiwa au bado knautaratbu mwngne""" labda ww ulitaka niulze vp? au hum ndan cku hiz mtu huruhusiw kuuliza?????

Yah Lazma uwe nA was was an IQ yake
 
ww mchapafito cjawah kuona umemjbu mtu kistaarabu ''nawasi wasi xana na IQ yako"" mm nmeuliza mtu anaweza kwnda kurpot alipohamishiwa au bado knautaratbu mwngne""" labda ww ulitaka niulze vp? au hum ndan cku hiz mtu huruhusiw kuuliza?????
mambo ya mitandao bwana...ha ha ha ha ha...laiti ungejua MCHAPAFITO ni nani...usinge andika hayo hapo juu
 
ww mchapafito cjawah kuona umemjbu mtu kistaarabu ''nawasi wasi xana na IQ yako"" mm nmeuliza mtu anaweza kwnda kurpot alipohamishiwa au bado knautaratbu mwngne""" labda ww ulitaka niulze vp? au hum ndan cku hiz mtu huruhusiw kuuliza?????
are u a university student????pole sana kijana
 
Hao madogo wamejaribu kufupisha maneno katika sentensi zao.naamini mmewaelewa ndio maana mmejibu walichouliza hata kama hamkujibu kama alivyotarajia.jambo la msingi halikuwa kuwanganga kwa walichouliza au kuandika,mradi ulimuelewa ulipaswa kwanza kumjibu kwa namna unavyoelewa taratibu zilivyo halafu kungefuata kumkosoa na kumrekebisha.
cc:mchapafito,mkoroshokigoli
 

kwani wakiandika kama ulivyoandika kuna shida gani,hawa ni wadogo zetu wacha tuwaelekeze,nadhan walichokiandika kinaeleweka ina njia waloandika humu ndani inakemewa so wote kwa pamoja tuwekane sawa,leo tuki entertain hivi kesho watakuja tena na tena na upuuzi huo huo,nampongeza mchapafito nae amelikemea halafu wana majibu ya shomboo,ujue humu unaweza ukapata msaada wa kutosha kwa sababu ya vile ulivyoandika.Wajirekebishe tu
 
Last edited by a moderator:
Kaka mi pia nmepata transfer na nipo dar
nasikia inabidi nifuatilie TCU na Heslb kote ili walekebshe mambo...mi pia sielewi ila kesho asbh TCU moja
 

Wewe utakwenda ku-disco, andika lugha fasaha! Hopeless! angalia spelling zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…