johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jiji la Dar es salaam linahitaji Viongozi aina ya Albert Chalamila wanaosema na kutenda siyo hao mapapaa.
Sisi Wahenga tunaupokea Uteuzi wa Rais Samia kwa mikono miwili.
Na yeye Chalamila akitaka kuleta za kuleta tunamzingua vile vile.
Karibu sana mwagito!
Sisi Wahenga tunaupokea Uteuzi wa Rais Samia kwa mikono miwili.
Na yeye Chalamila akitaka kuleta za kuleta tunamzingua vile vile.
Karibu sana mwagito!