Tuliokuwa tukiiga tuliyoyaona katika Sinema za akina Bruce Lee, Chuck Norris na Rambo na Kupigwa kikweli kweli Mtaani tutambuane

Tuliokuwa tukiiga tuliyoyaona katika Sinema za akina Bruce Lee, Chuck Norris na Rambo na Kupigwa kikweli kweli Mtaani tutambuane

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nilikuwa napenda mno Kuiga Kujikunja kama Bruce Lee huku nikirusharusha Viteke vya hapa na pale na mkwara mwingi wa ile Sauti ya Bruce Lee ya kulia kama Paka hivi, lakini kuna Siku niliingia kwa Mtu tukiwa Wawili nakumbuka ukiachia mbali Kuadabishwa nae, ila kama Tanzania siku hiyo ilikuwa inatafuta Wanaridha wa kwenda Olimpiki wangeniona wangenipeleka kwa zile Mbio nilizokuwa nazitimua huko Uso ukiwa Umevimba.
 
Nilikuwa napenda mno Kuiga Kujikunja kama Bruce Lee huku nikirusharusha Viteke vya hapa na pale na mkwara mwingi wa ile Sauti ya Bruce Lee ya kulia kama Paka hivi, lakini kuna Siku niliingia kwa Mtu tukiwa Wawili nakumbuka ukiachia mbali Kuadabishwa nae, ila kama Tanzania siku hiyo ilikuwa inatafuta Wanaridha wa kwenda Olimpiki wangeniona wangenipeleka kwa zile Mbio nilizokuwa nazitimua huko Uso ukiwa Umevimba.
Tupo...
 
Back
Top Bottom