Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Nenda Cheki PM nimekutumia pesa zitoe uje Nipo Huku Babati.Oky nasubiria mtongozo
Wazo zuri sana hiliiiTuanzishe chama chetu
Tuchague viongozi wawili
Mchungaji na shekh wawe wanatuombea kwa Mungu na Allah mpk maji yageuke kuwa maziwa[emoji176]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]nakuja na polepole transNenda Cheki PM nimekutumia pesa zitoe uje Nipo Huku Babati.
Yap[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa iyo tunagegedana uku panga iko bed
Safi sana iyoYap[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuja pm tuyajenge[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Criaz aiseee! Kweli hisia zinatembea, nprove wrong km expectations zangu ni kubwa kiliko ukweli ulivo!Hahahahahhaha mashikolo mageni
Mkuu naomba uandike Kwa kiswahili au kibantuCriaz aiseee! Kweli hisia zinatembea, nprove wrong km expectations zangu ni kubwa kiliko ukweli ulivo!
Hahaaa! Makosa yapo mkuu! Ukamilifu usingekuwepo Kama watu hawakosei! Pliiiiz usinipime kwa weakness nipime kwa strength!@demiseMkuu naomba uandike Kwa kiswahili au kibantu
Demiss umehit point, nadhan wewe ni mdada, ngoja nijisogeze inboxTutongozane au tufanyeje
Tupo, tunawasubiri mfiketumekuja vip kun wachumba
Ndo nakwambia Mkuu wala sitaniiHahaaa! Makosa yapo mkuu! Ukamilifu usingekuwepo Kama watu hawakosei! Pliiiiz usinipime kwa weakness nipime kwa strength!@demise
Karibu Kwa mtongozoDemiss umehit point, nadhan wewe ni mdada, ngoja nijisogeze inbox
sawa. Turudi kwenye hoja ya msingi xaxa! Unanisaidiaje!? Unakuja PM au ndio umeniweka kwanza chini ya uangalizi maalumu kama TCRA. Nijirekebishe mwandikoNdo nakwambia Mkuu wala sitanii
Komaa babu soon utapata cheti cha upadreWee unasema mwaka tuu mwenzio huu ni mwaka wa 5 simjui mwanamke