Tuulizeni sie tulio kwenye ndoa mwaka wa kumi (10) tumeona mengi :lol::lol::eyebrows:
Unaona ehee unaharibu sasa mimi nakwambia njooni muulize sweetlady na wengineo walipata ushauri mzuri tu:lol::eyebrows:
Habari wana JF
Mimi ni kijana mwenzenu
Kwa wale ndugu zangu vijana wenzangu tuliooa miaka ya karibuni kama mimi nawaomba tuwe wavumilivu tukaze tu hivyo hivyo ili hizi ndoa zidumu maana mitihani mingi sana na huko duniani nje yaani ni balaa kila vishawishi.
Nina mwaka mmoja kwenye hiki chama lakini naomba niwavulie kofia ndugu zangu mlio kaa humu ndani miaka 5 na kuendelea.
Tukaze washikaji tusije tukaishia njiani
Prishaz hahaha unataka kuingia uicheze ngomaumeona nini?embu tuambieni tupate alert
ndo maana mi staki!
Prishaz hahaha unataka kuingia uicheze ngoma
Waambie hao. Mwenzao nipo kwenye ndoa mwaka wa 7 huu, hawajui ni kwaajili ya kufuata maushauri yako.Unaona ehee unaharibu sasa mimi nakwambia njooni muulize sweetlady na wengineo walipata ushauri mzuri tu:lol::eyebrows:
The Finest as marriage councilor...................................ouch!:hatari:
:lol: Mkuu kama kuna watu wana matatizo nishtue nije kusuluhishaThe Finest as marriage councilor...................................ouch!:hatari:
Good sasa wewe nitafute tu i'm available anytime utaniambia shida yako hasa ni eneo lipi la ndoa then we can take it from there au kama ndio unaingia we will discuss what you should expect...i guess we're goodNasubiri ushauri wako maana una uzoefu TF
Waambie hao. Mwenzao nipo kwenye ndoa mwaka wa 7 huu, hawajui ni kwaajili ya kufuata maushauri yako.
Mr. Rocky na King'asti tafadhalini sana ndoa zenu zikiyumba au kupata mushikeli kidogo muoneni TF, mie pia msisite kuniona manake nshakuwa msaidizi wake.
Dah!! Prishaz hebu muone hapo SL juu alivyotoa ushahidiπoaIMAGINE :hatari:
Waambie hao. Mwenzao nipo kwenye ndoa mwaka wa 7 huu, hawajui ni kwaajili ya kufuata maushauri yako.
Mr. Rocky na King'asti tafadhalini sana ndoa zenu zikiyumba au kupata mushikeli kidogo muoneni TF, mie pia msisite kuniona manake nshakuwa msaidizi wake.
Muzee weka maneno mafupi, sema "twende PM" unazunguka nini?πoaGood sasa wewe nitafute tu i'm available anytime utaniambia shida yako hasa ni eneo lipi la ndoa then we can take it from there au kama ndio unaingia we will discuss what you should expect...i guess we're good
Muzee weka maneno mafupi, sema "twende PM" unazunguka nini?πoa
ndo maana mi staki!
Lol, ukishindwa kuyaamini maneno yangu shauri zako. Narudia tena kwa msisitizo ukitaka ndoa yako idumu kama chama cha mapinduzi mwone TF au mimi kwa maelezo zaidi.Wajanja wawili wakikutana sijui hapo kinatokea nini
Utapata mbinu mbadala z akuvunja nyumba yako aise