Tuliooa

Tukaze nini sasa?
  1. Wake zetu?
  2. Msuli kutokana na vishawishi?
  3. Majibu yote ni sahihi.
 
Rejao nitafute ukiwa na mkwaruzano na wife:eyebrows:
Heee...mi na my wife wangu hatukwaruzani kabisa!!! by then, sweetlady kanibook pia..but as long as nyie wote ni kitu kimoja, nitawaconsult wote kwa pamoja!!
 
Heee...mi na my wife wangu hatukwaruzani kabisa!!! by then, sweetlady kanibook pia..but as long as nyie wote ni kitu kimoja, nitawaconsult wote kwa pamoja!!
Mhhh!!! Hii sasa naona haijakaa kikazi zaidi
 
.........................................:spy:.......................................​
 
Utakatifu ndani ya ndoa mtafute Bishanga

Asante sana kwa haya
Ukitaka namna ya kuonekana mbabe ndani ya nyumba kama kidume mtafute Asprin
Ukitaka njia nzuri za kutoka nje ya ndoa muone The Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…