Unaoa ili ugundue nini?Habari za saivi mabibi, mabwana, vijana, mabinti, wazee n.k
Ni Utekelezaji Yale TuliyokubalianaKwani tulikubaliana nini kwenye kile kikao..??
Kikao cha hapa ndani mkuu, kwani haukupata nakala ya mukhtasari..??Kikao nicha wawili mchumba na mwenzake
We unasemea kikao gn
Kwani ww umeoa.. kama umeoa we unasemaje
huyu dogo wa fb vijao vya hapa jf havijui[emoji23][emoji23]Kikao cha hapa ndani mkuu, kwani haukupata nakala ya mukhtasari..??