Tuliopangiwa JKT Ruvu pakoje

chrisno

Senior Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
117
Reaction score
16
Ndugu wanaJF mimi napenda kujua hali ya kikosi cha Ruvu pakoje, Je! Ni porini sana na zipi kazi za pale?

Msaada kwa anayejua!
 
Ruvu jkt siyo porini , kazi kama kawaida kulima bustani, kupalilia maembe, kuhudumia kuku .

Nenda kijana Ruvu ni moja kati ya kambi bora kabisa za jkt.
 
siku hizi RUVU NI raha.

ingekuwa miaka ile tuliyokuwa sisi 1980,S. kulikuwa na yale mashamba ya mpunga jina la mchele MDUNDIKO. tulikuwa tunalima sana trekta na wavunaji ni sisi wenyewe. kuna RUBA wengi sana pale na usiku tukiwa na vibukta vyetu ni MBU BALAA.

HIVI SASA NI RAHA TUPU JKT
 
kijana jkt ya RUVU kwa sasa hakuna suluba kama tulizopata sisi miaka ile ya 1980's.

Yale mashamba ya MPUNGA Nayakumbuka sana. tulikuwa tunalima na kuvuna wenyewe bila ya trekta. acha kijana kulikuwa na Ruba wengi sana pale. na usiku tukiwa na vibukta vyetu tunaimba nyimbo ni MBU kwa kwenda mbele.

Nakumbuka siku niliyopewa jembe BUTU nikaammiwa nilime kuanzia HAPA MPAKA HUKO?. NIKAULIZA HUKO NI WAPI?. NIKAAMBIWA MPAKA HUKOO!!!.

HIVI SASA NI RAHA TUPU RUVU MASHAMBA YASHAUZWA NA SERIKALI YA CCM. TULIKUWA TUNAZALISHA MCHELE MDUNDIKO MUULIZE MZEE WA ZAMANI ATAKUFAHAMISHA MCHELE HUO
 

shukrani kwa maelezo yako......��✋
 
Kambi ya walemavu na wenye matatizo ya kiafya. wote hawa wanapaswa kuripoti Ruvu JKT. na wewe una matatizo ya kiafya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…