Pole sanaMimi nimepigwa block whasApp facebook, nimewekwa black list na mpenz wangu huu ni mwezi sasa !!
AsantePole sana
Mkifungua Uzi wa wanao-block/blacklist mnistue
Fungua alafu nishtueUkifunguliwa huo uzi, usisite kunishtua pia!
Au sikia, fanya hivi "ufungue"
Unakuta mtu anakujibu "K" ππTupo pia ambao sms tunajibiwa kimkato
Wanawake wanadharau sanaUnakuta mtu anakujibu "K" ππ
Hakuna namna tuwapende tuWanawake wanadharau sana
Anayekudharau ujue umempa sababu ya kukudharauWanawake wanadharau sana
Mi mwanamke nikiona tu hanielewi baharia napotea kabisa yaani sisumbui tena na namba nafuta sina rekodi ya kukataliwa "NO".Unakuta mtu anakujibu "K" ππ
Unakuta mtu anakujibu "K" [emoji3][emoji3]
Vibovu huwa vitamu kwani ?Mi mwanamke nikiona tu hanielewi baharia napotea kabisa yaani sisumbui tena na namba nafuta sina rekodi ya kukataliwa "NO".
Mdada aje anichafulie Cv nipate sonono nifeπ mimi napiga vibovu tu maana vinanikubali mapema.