Kweli kabisa, ukiwa na pesa una heshimikaDemu wa hivyo hata usijihangaishe naye, sema kuna umri ukiwa alaf huna hela itabidi ukomae tu!
Ukizikamata hamna demu wa kukujibu kimkato hivyo.
Ni vitamu siku ya kwanza,ukishapiga kasoro zinaanza kuonekana...yaani mwanamke ukishampanda unamwona mbayaVibovu huwa vitamu kwani ?
Hivi kwanini huwa inakuwa hivo ?Ni vitamu siku ya kwanza,ukishapiga kasoro zinaanza kuonekana...yaani mwanamke ukishampanda unamwona mbaya
Wakifungua uniite na mimi dearMkifungua Uzi wa wanao-block/blacklist mnistue
Hahahaha, ndio zaoKuna demu sikumtumia hela kanipiga ban hadi msg za kawaida. Hawa viumbe hawa
Sawa dearWakifungua uniite na mimi dear