Tuliopigwa hela na BR investment mje hapa

Tuliopigwa hela na BR investment mje hapa

Jini Kisiranii

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2018
Posts
1,912
Reaction score
2,254
Habarini wana jamvi, hivi karibuni kama mwezi hivi uliibuka mtandao wa kuwekeza hela then unalipwa 20% ya fedha ulowekeza kila siku.
Kama kawaida wa tz hatusikii watu wakajiunga. Mimi fursa ikanifikia kama wiki 3 zilizopits nikiwa najua kabisa mda wowwote naweza kupigwa. Basi nikatupia laki2 kesho yake wananiambia hela haitoshi ongeza nikashtuka kesho yake wakaongeza ingine kuwa siwezi kutoa faida baada ya siku 2wakasema wamefunga ofisi tanzania kutokana na kushindwa kucomply na taratibu na sheria za nchi. Ila hela zetu zimehamishiwa BIS wakaeka na link ya kudownload nikasma isiwe shida nikaishusha. Nikainstall ikadai configuration ni enable baadhi ya accessibility mojawapo ni keyboard, contacts, na privacy zingine nlivoona keyboard tu nikastuka nikasita kuendelea maana kuna kitu inaitwa keyloger ni ushenzi nikaachana nayo nikasema nikiinstall hii watapiga kwenye account zangu zote maana unapoweka password li app lao linasoma keyboard ukimaliza ru na wao wanaingia wanakomba kila kitu
 
Hii ipoje mkuu.

Pole sana kwa kupigwa 200K
Key loger inatumika na hackers anakutumia scripts ikiwa kwenye mfumo ya file ama programs, kuna vitu utaulizwa ukikubali next ama ok unakuwa unaruhusu hiyo program kufanya screen mirroring so kila unachofanya na keyboard yako yeye kule pc yake inarecord key presses then akija baadae naye anaona na kuiba kila kitu
 
Habarini wana jamvi, hivi karibuni kama mwezi hivi uliibuka mtandao wa kuwekeza hela then unalipwa 20% ya fedha ulowekeza kila siku.
Kama kawaida wa tz hatusikii watu wakajiunga. Mimi fursa ikanifikia kama wiki 3 zilizopits nikiwa najua kabisa mda wowwote naweza kupigwa. Basi nikatupia laki2 kesho yake wananiambia hela haitoshi ongeza nikashtuka kesho yake wakaongeza ingine kuwa siwezi kutoa faida baada ya siku 2wakasema wamefunga ofisi tanzania kutokana na kushindwa kucomply na taratibu na sheria za nchi. Ila hela zetu zimehamishiwa BIS wakaeka na link ya kudownload nikasma isiwe shida nikaishusha. Nikainstall ikadai configuration ni enable baadhi ya accessibility mojawapo ni keyboard, contacts, na privacy zingine nlivoona keyboard tu nikastuka nikasita kuendelea maana kuna kitu inaitwa keyloger ni ushenzi nikaachana nayo nikasema nikiinstall hii watapiga kwenye account zangu zote maana unapoweka password li app lao linasoma keyboard ukimaliza ru na wao wanaingia wanakomba kila kitu


Oi mrangi kama kawaida yaani wajinga hawajawahi kuisha yaani utapeli wa mwaka 2007 Faida Investiment walivyowapiga watoto wa chuo mpaka leo 2024 bado watu wanaendelea kupigwa...😀😀
 
Ni spyware au virus smbaye anatrack keyboard input zako kisha inazituma kwa wadukuzi

Key loger inatumika na hackers anakutumia scripts ikiwa kwenye mfumo ya file ama programs, kuna vitu utaulizwa ukikubali next ama ok unakuwa unaruhusu hiyo program kufanya screen mirroring so kila unachofanya na keyboard yako yeye kule pc yake inarecord key presses then akija baadae naye anaona na kuiba kila kitu
Teknolojia ni nzuri ila ubaya wake ni hapa, kwenye hilo watalizwa wengi sana.
 
key logger/keystroke logger, kama unafanya internet banking wahuni wanakomba zote kwa account
 
Wajinga hawaishi mkuu

Ova

Na wataendelea kupigwa sana ,cha ajabu hata wanaosoma hapa huu utapeli siku nyingine watakuja kupigwa kwa style hii hii.

Polisi kila siku wanatuma meseji kusisitiza usitume pesa kwa mtu ambaye haumjui.
 
Habarini wana jamvi, hivi karibuni kama mwezi hivi uliibuka mtandao wa kuwekeza hela then unalipwa 20% ya fedha ulowekeza kila siku.
Kama kawaida wa tz hatusikii watu wakajiunga. Mimi fursa ikanifikia kama wiki 3 zilizopits nikiwa najua kabisa mda wowwote naweza kupigwa. Basi nikatupia laki2 kesho yake wananiambia hela haitoshi ongeza nikashtuka kesho yake wakaongeza ingine kuwa siwezi kutoa faida baada ya siku 2wakasema wamefunga ofisi tanzania kutokana na kushindwa kucomply na taratibu na sheria za nchi. Ila hela zetu zimehamishiwa BIS wakaeka na link ya kudownload nikasma isiwe shida nikaishusha. Nikainstall ikadai configuration ni enable baadhi ya accessibility mojawapo ni keyboard, contacts, na privacy zingine nlivoona keyboard tu nikastuka nikasita kuendelea maana kuna kitu inaitwa keyloger ni ushenzi nikaachana nayo nikasema nikiinstall hii watapiga kwenye account zangu zote maana unapoweka password li app lao linasoma keyboard ukimaliza ru na wao wanaingia wanakomba kila kitu
Pole kwa hilo,
App ikishataka kupata access ya contacts, keyboard, camera na location inabidi kujiuliza mara mbilimbili
 
Back
Top Bottom