Yaani ,nilikuwa nikipita chocho,vijana wananichora kweli, ningeweza pigwa roba la mbao kisa 210,000/ ...Bure ghali!Pole sana, kuna watu (watanzania) wanaishi/wanafanya biashara ulaya na marekani huko ni uhakika wa kuagiza kifaa cha uhakika na sio copy. Sema pesa yake ndefu.
Bidhaa za China hata niambiwe hii ni genuine hiwa siziamini hata kidogo, hata nikinunua najua kabisa hapa ni kwa muda tuu.
Kweli eehh!Sasa tafuta demu mhonge.
😡This is very true because I can
remember one day I went back to the
village and my grandfather told me
that grandson, no matter how useless
your comment is, there will be
someone who will read it till the end.
Oking ipoje mkulu!Kuliko kutumia copy ni bora ieleweke natumia Tecno au Oking.
Babu yako ni fundi wa vilazaThis is very true because I can
remember one day I went back to the
village and my grandfather told me
that grandson, no matter how useless
your comment is, there will be
someone who will read it till the end.
inavyowaka inapiga kelele kali sana halafu inatokea picha ya Diamond WCB.Oking ipoje mkulu!
Si ni mataita hatuwezi kuingia mkenge kama wewe Nyasa boyKizuri share na wenzako....usiingie mkenge!