Tuliopita Mlale Jkt 2015 kwa mujibu wa Sheria tukutane Hapa

Tuliopita Mlale Jkt 2015 kwa mujibu wa Sheria tukutane Hapa

More Chances

Senior Member
Joined
Jun 24, 2022
Posts
151
Reaction score
344
Tuliopita Mlale jkt 2015 tukumbushane ya kipindi kile.
Mimi namkumbuka sana Afande Lyimo afande mmoja mashuhuri sana.

Afande Mbise , Afande Mkulima na wengine kibao
Machenja ya usiku na baridi la songea huku mnapigwa nua.
🤣🤣🤣 Nani alozingua akapigwa Doso la vasco dagama ?

Namkumbuka sana Afande mashauri wa Combania yetu A coy jamaa alikuwa anatutetea sana tusisulubishwe na Service Man.
 
Tuliopita Mlale jkt 2015 tukumbushane ya kipindi kile.
Mimi namkumbuka sana Afande Lyimo afande mmoja mashuhuri sana.

Afande Mbise , Afande Mkulima na wengine kibao
Machenja ya usiku na baridi la songea huku mnapigwa nua.
🤣🤣🤣 Nani alozingua akapigwa Doso la vasco dagama ?

Namkumbuka sana Afande mashauri wa Combania yetu A coy jamaa alikuwa anatutetea sana tusisulubishwe na Service Man.
Mtaanza kutajana majina.Maana leo mpo disco la JF!
 
Back
Top Bottom